thatonegAl
JF-Expert Member
- Aug 28, 2013
- 825
- 1,886
Ingefaa zaidi endapo ushauri ungekuwa kwenye kuvaa nguo za kujistili ila hapo kuchanganya mavazi na kupata mume sidhani kama ni sawa.Umevaa suruali imekubana na kuyachora maungo yako yote, halafu imechanwa chanwa mapajani kwa mbele, maungo yako yanaonekana na kila mtu.
Unakutana na rafiki yako anakuuliza kama umeolewa nawe bila haya unasema "niolewe na nani shost, wanaume wenyewe matapeli tu"
We unadhani kuna mwanaume mwehu mpenda laana, wa kukuoa wewe, uje kumletea laana kwenye ukoo wake, mwishowe aje azae watoto wehu.
Utabaki hivyo hivyo, ukija kushituka ushazeeka unaamua kujioa kwa kwenda kuishi na lishikaji tu (sio mume).
Hapo ndo unaishi kwa shida full vilio kwa kuwa na mume asiyeeleweka, wakati wewe mwenyewe ulishindwa kujenga misingi ya kueleweka.
Poleni wote mnaopitia vipindi hivyo hasa mkiwa ndio wasanifu na wajenzi hali hizo.
wapo watu majumbani hawazijui suruali wala nguo fupi na bado hawajaolewa hadi jua limezama.
Nadhani kila mwanaume ana kitu anachovutiwa nacho kwa mwanamke na mwanamke kupata mume ni zaidi ya kuvaa nguo za staha.
Nawasilisha.
kitenge nitavaa nikizeeka