Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

unafki unafki tu mnajifanya hampendi hzo nguo wake zenu wakivaa madera mbona mnawafata wanaovaa hizo nguo mnazosema za kudhalilisha
Ushasema mke tena mke wang
Mm atakua akivaa vitenge
Akashone tu garama ktu gani

Hao wanaovaa hzo tunawafwata
Kusindikiza cku maana wangekua
Wife material washawekwa ndan kitambo
 
Noo sikubaliani na wew unaweza ukavaa hivyo na ukapata wa kukuoa mzungu mwenzako kwanza nan kakuambia mavaz ni tabia mbona mi najua watu weng tu wanavaa miburuzo na hawajaolewa wanakaribia miaka 40
 
Umesema ukweli mtu ndg Pyepyepye , lakini sisi waTZ tulio wengi tutaishia kukutana kuwa wewe mshamba na kejeli za namna hiyo, lakini ulichokisema ni kweli na kitabaki kuwa kweli daima.

Haiwezekani mwanaume kamilifu kabisa achukue mdada mtembea uchi eti kwa lengo la kuoa, never. Ikitokea mdada mtembea uchi unajiona wanaume wanakufukuzia hata na ahadi za kukuoa, jua tu ya kwamba lengo lao ni kukutumia tu na mwisho wa siku kukuacha, kama alivyosema mjumbe mmoja kupima oil tu na si vinginevyo
Wake zenu ndio wanavaa hivyo, basi kumbe wote wehu.
 
Bora hata mapaja ya wanawake yanavutia, sasa na wanaume wanaovaa hivyo na vile vipaja vyenu kama kuni!! Toeni kwanza boriti zenu bwana.
😀 😀 😀 😀 😀 😀

Yan umeamua kuwapa
Makavu barobaro wa dsm
 
Kuna mtu alisema yeye anapenda mkewe avae hivyo na kwake haionyeshi kutokujiheshimu hata kidogo.
Ni kweli mkuu,life has changed a lot,huwezi kumlazimsha mtu aamini unachokiamini,mimi naweza sema kuvaa mavazi mafupi ni kawaida,mwingine akasema si kawaida na sitaweza kumlazimisha aamini.
Kwa nchi km Tanzania ambao tunaishi kwa kuangalia western culture,tunakoelekea wanawake wanaweza wakatembea na vyupi barabarani.
 
si ndo mabadiliko chiz anavaa vzr ila wazima sasa ndo machiz....we mwanamke unabana mitako yako au mipaja nje ....unafkr nan atakuweka ndan kama mke ...kila mwanamke akivaa uchi n mzur kwa mwanaume kwa kuamsha matamanio na kuishia kukukwichiiiiii weeee mpaka uzeeeke ....mjirekebishe mama zetu ...mambo mengine sio ya kuiga eti unakula ujana ...unakulaaaa? au unaliwa
ni mtazamo tuu msikasilike
 
Ni kweli mkuu,life has changed a lot,huwezi kumlazimsha mtu aamini unachokiamini,mimi naweza sema kuvaa mavazi mafupi ni kawaida,mwingine akasema si kawaida na sitaweza kumlazimisha aamini.
Kwa nchi km Tanzania ambao tunaishi kwa kuangalia western culture,tunakoelekea wanawake wanaweza wakatembea na vyupi barabarani.
Culture tunayoishi ni za kutoka nje kwahiyo acha maisha yendelee, wakitembea na vyupi mtazoea tu si ndiko tulikotoka enzi hizoooooo.
 
Msiwasingizie wa dar tu, kote ni majanga tu maana hao wa dar ndio role models wenu.
Dhuuu!!,bhas wanaongozwa na
Huyo mkubwa wao wa wcb

Cc wamikoan baadhi tunawaonaga
Tu kwa tv wakiwa wamevaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom