Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

Hii nadhani ni Chanzo cha kupungua kwa nguvu za kiume. Wanaume kutwa wanasimamisha kwa kuona maungo ya wadada wasiojielewa.
 
Kama watu wanaringa kuona kuoa iko siku watatoka na suti ya bafuni, sasa mtu akiambiwa kuowa bado anajipanga si bora kuwarusha roho
 
mbona nyie mnavaa suruali chini ya makalio na boxer zenu nyeusiiiii chafuuuuuu sina uvundo nani anawasema?? Its all about fashion buana wewe. Wangap wameolewa and yet wanavaa hivyo hivyo.??hoja yako haina mashiko na imeongozwa na hisa Kama sio hasira za kuachwa
 
Culture tunayoishi ni za kutoka nje kwahiyo acha maisha yendelee, wakitembea na vyupi mtazoea tu si ndiko tulikotoka enzi hizoooooo.
Ha ha ha
Najua western culture bado haijachukua 100% ,kuna asilimia flani imebaki,kama wazazi itabidi tuwalee watoto katika maadili.Tusiwe wehu mpaka tukasahau utu wetu wa kiafrika kwa kusingizia wazungu ambao wenyewe wakija huku wanatushangaa tunavowaiga mpaka wanakosa cha kuiga kwetu,katika watoto 10 wa kike ukiwapa elimu kuna wa 5 utawasaidia.
 
Very true,yani wanatuaibisha wasichana wenzao wallah Kama mtu anakupenda ata ukijistiri atakupenda tubadilike jamani not right kwakweli
 
Ujumbe umewafikia walengwa.....................tatizo wanajifanya wanaenda na wakati....wakati wanapitwa na wakati...............
 
Na nyie achen kuvaa modo, mnavaa suruali inawabana mapaja mpaka miguu ngoja muumwe tumbo la kuhara na hizo modo zenu kama hamjajinyea.
 
Ha ha ha
Najua western culture bado haijachukua 100% ,kuna asilimia flani imebaki,kama wazazi itabidi tuwalee watoto katika maadili.Tusiwe wehu mpaka tukasahau utu wetu wa kiafrika kwa kusingizia wazungu ambao wenyewe wakija huku wanatushangaa tunavowaiga mpaka wanakosa cha kuiga kwetu,katika watoto 10 wa kike ukiwapa elimu kuna wa 5 utawasaidia.
Hivi culture yetu ni ipi? Hii ya kiarabu ya kuvaa hijab?
Maana huwa nashindwa kuelewa watu wanaposema tufuate utamaduni wetu, tamaduni zetu zenyewe zinatofautiana kutoka kabila moja kwenda lingine, ndio maana hata vazi la taifa lilishindikana
 
mbona nyie mnavaa suruali chini ya makalio na boxer zenu nyeusiiiii chafuuuuuu sina uvundo nani anawasema?? Its all about fashion buana wewe. Wangap wameolewa and yet wanavaa hivyo hivyo.??hoja yako haina mashiko na imeongozwa na hisa Kama sio hasira za kuachwa
Tena sio ziko chini ya makalio tu bali nazo zimechanwa chanwa hivyo hivyo na miondoko yao kama wametahiriwa leo.
 
Very true,yani wanatuaibisha wasichana wenzao wallah Kama mtu anakupenda ata ukijistiri atakupenda tubadilike jamani not right kwakweli
Bora hata mshauriane wenyewe
Huenda mkaskizana
 
Tena sio ziko chini ya makalio tu bali nazo zimechanwa chanwa hivyo hivyo na miondoko yao kama wametahiriwa leo.
😀 😀 😀 😀 😀 😀 😀
Espy co kwa povu hili

Bora tu mm nlitairiwa nkiwa cjitambui
 
kwanza miaka ya zamani wazee wetu walikua wanajifunga ngozi tu tena kiunoni mambo yote yapo nnje na hali ilikua shwari yu wala nguvu za kiume hazikupungua iwaje izo nguvu za kiume zipungue kwa sisi wa africa tu baada ya kuona maungo ya mwananke mbona ulaya wanavaa hivo na nguvu wanazo.
mke wangu avae vyovyote wanaovaa sana magauni nyuchi zao zinakuaga sio shwari
 
Tena sio ziko chini ya makalio tu bali nazo zimechanwa chanwa hivyo hivyo na miondoko yao kama wametahiriwa leo.
Na wao wanaona tunapendeza Sana siku hizi na wao wanavaa modo,zinawachonga Kama sisi tu tofauti yetu wao hawana makalio,siku hizi wanavaa vipensi vya mapajani wanaacha ngoko nje zimekomaa Kama kuni ya kiangazi yet wanajishaua wadada u know this and that blah blah kibao. Kama mnaona tunapendeza Sana kachongeni matako Maana vya kuchana na nyinyi pia mmeiga. Give us break
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom