KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,711
- 12,067
Unamkuta msichana anataka umnyonye kitovu au uingize ulimi kwenye kitovu, cha ajabu kitovu kina ukoko wa sabuni na ukurutu ambapo unaweza jaza kisado, wanawake Mungu anawaona mjue.
Zinanyolewa vizuri kwa kutumia Nose trimmer.Nywele za puani zinanyolewa?! Nsaidie me mshamba...
Kutokunyoa nywele za makwapani na sehem za siri,mwanzo wa kunuka shombo!
Ya hili kweli nitatizo tena unamkuta binti mzuri nje nenda game uone sasa najiuliza hivinikweli huwa wao wenyewe hawajijui au mana kumwambia naona aweza jisikia vibaya je hili sio ugonjwa na kamaniugonjwa tibayake inapatikana.Hawa ambao wako hivyo wengi ni wale wenye muonekano mzuri wa nje,mimi harufu tu ya prawns jamani inanikera,wale wazuri papuchi ziko kama ferry soko la samaki ukiwavua pichu,sijui wenyewe wanasema ukiosha sana unapata cancer basi akivua pichu utadhani ni soksi au viatu vinanuka,swali ni,hivi wakikuvulia huwa hawajui wanatoa hyo harufu au wao wameizowea?
Waambieni mm nimesema nimeishia kutukanwa tu mkuuYa hili kweli nitatizo tena unamkuta binti mzuri nje nenda game uone sasa najiuliza hivinikweli huwa wao wenyewe hawajijui au mana kumwambia naona aweza jisikia vibaya je hili sio ugonjwa na kamaniugonjwa tibayake inapatikana.
Uzuri ni kua una mzazi wa kike pia......Watu kuambiwa ukweli ndo hadhi inashuka??
Kwani hujui kua unavyokashifu wasichana/wanawake ni sawa unakashifu wazazi pia???Mbona aliyenizaa
Nikama aliyekuzaa
Niyukane mm usiwahusishe wazazi
Sijui kubishana na sijaanzisha mabishano nipotezee pleaseKwani hujui kua unavyokashifu wasichana/wanawake ni sawa unakashifu wazazi pia???
Uliliweka hili bandiko la nini kama unataka kupotezewa???Sijui kubishana na sijaanzisha mabishano nipotezee please
Ila kuna ambao usafi na wao mbali mbali kabisa... Kauzembe flan naturalUzuri ni kua una mzazi wa kike pia......
Kama mchafu si umtakatishe kuliko kashfa, tukianza kuongelea suala la nani mchafu nani msafi si tutajaza Server humu.....Ila kuna ambao usafi na wao mbali mbali kabisa... Kauzembe flan natural
Nywele za puani zinanyolewa?! Nsaidie me mshamba...
Kutokunyoa nywele za makwapani na sehem za siri,mwanzo wa kunuka shombo!
Ahsante..me sijui nipo dunia gani,sikujua na masikioni kuna nywele jamnZinapunguzwa mamy Na za maskioni pia kama una nywele nyingi kudude ni hiki cha bro me moga lol
Ahsante..me sijui nipo dunia gani,sikujua na masikioni kuna nywele jamn
Au wanaume wa kihindi..na waafrika pia?!
Paprika namuona mondray anawachana tuu...Asante kwa ujumbe!!!
Ila usafi ni kwa wote... Tunakutana na wanaume majalala pia!!! Wengine hawajui kabisa kujisafisha nyuma!!!