Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,545
- 63,023
Hahahaa! Naona umejitoa mapemaafadhali umeongelea wasichana ... wanawake tupo tofauti
Hahahaa! Naona umejitoa mapemaafadhali umeongelea wasichana ... wanawake tupo tofauti
Hahahaa! Ray anasingizia eeh?sisi watu wazima haituhusu
Naona shuni anabisha kwa nguvu kweliHahaaaaa duh povu zito hilo. Daah hata nyie mnao jiita mnajielewa mpo hivyo hasa siku za period hatari
Ila wapomwanamke anayejielewa huwezi kukuta ananuka papuchi ata siku moja utakua unakutana na watto wenzio wasiojua kujisafisha
kakutana na watto wenzie anaona wote sawaHahahaa! Ray anasingizia eeh?
yes wapoNaona shuni anabisha kwa nguvu kweli
Ila wapo
S kuna wanaojiita WCB huoni wanatukashfu.Kama mchafu si umtakatishe kuliko kashfa, tukianza kuongelea suala la nani mchafu nani msafi si tutajaza Server humu.....
Mwanamke yoyote ni mama wa mwenzio sasa sijui kama utapenda kuona mzazi wako akidhalilishwa na kukashifiwa.
C uache kwan umelazimishwaMwanamke akiwa mchafu sipigi game naye
Ushaona eeeh.!!sisi watu wazima haituhusu
eti msichana ana tongotongo kama kifaranga cha ndege
Sawa shemyes wapo
Yaani katuamulia!Paprika namuona mondray anawachana tuu...
Upite kule kutusalimia basi..Yaani katuamulia!
Nakujaaaa!Upite kule kutusalimia basi..
Nadhani boys/men wenzangu mtakua shahidi kwa haya mambo juu ya hawa wasicha.
>> Unakuta msicha kajipamba kapambika/ Kajiremba karembeka boy unamtokea unavuta mzigo getoni, baada ya kutaka kuanza ligi ndogo sasa duuh!!! Unakuta kule in the earth crust/wizara ya mariasili na utalii bin papuchilo panatoa harufu zaidi ya choo cha stendi ya huku kwetu kolomije. Au unakuta magma/ ujiuji fulani kama mtoto katapikia.
>> msichana unamkuta ana meno meupe kuliko hata ya nyau na tu lips twa kuvutia kunywa kile kinywaji pendwa lakini mdomo unatoa harufu mbaya kama kaficha pedi ya mtoto ndani au katafuna kinyesi.
>> Msichana mrembo lakini sasa ukimkagua masikioni unakuta sikio lipo kama mzinga wa asali, uchafu uchafu ukipakua unajaza magaloni.
>> Unakuta msichana mrembo lakini sasa ana Ampit hair kama nywele zangu za kichwani. Muwe mnanyoa banaaa.
>> Msichana unakuta ana pabic hair kwenye wizara ya maliasili na utalii kama ndevu za Osama basi unakuta bajaji na Teksi (kunguni na chawa) zimejazana huko utadhani vitanda vya gesti zetu huku Ntatilyabashashi.
{> Binti unamkuta miguu imempasuka kama matuta ya viazi mbatata hata akikukanyaga anakuachia Tatooo.
>> Msichana unakuta ana nywele za mapuani kama babu kifimbo cheza na hata aibu hana.
>> msichana muda wote yy anatongo tongo kama kifaranga cha ndege na hata hazitoi sijui hua mnazila.
Daah wasichana mnaboa sana jirekebiseheni bwanaaaa.
Kama Boys mlishawahi kukutana na hivyo vitu kwa msichana yoyote Gonga like mazee.
Wasichana povu ruksa kutoa hata la gwanji poa tu.
By Mwenyeji kutoka Twitter na Fesibuku.
Van Ray van Boy mtu mbaya
Wewe toa tuMmh tukianza kutoa na madhaifunyenu nadhani makubwa kuliko haya
Au mange ki.....Nahili tumwambie gwajima avalie njuga ili wajirekebishe