Wasichana huwa tunaoverlook

Wasichana huwa tunaoverlook

imaney

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2012
Posts
1,014
Reaction score
314
Tukikutana na wanaume huwa often tunaangalia pochi, kazi, sura ya kiume nk, tunasahau kabisa kigezo cha uzuri/Uhandsome matokeo yake ni kuzaa watoto wenye features/wasifu wenye mushkeli kidogo and as a result wanaishia kuwa bullied na kuwaondolea kujiamini.

Wasichana tuna haki ya kuchagua watu wenye wasifu kama wanaume wanavyotuchagua kwa shape/sura na kigezo cha 'uhandsome kisiwe overlooked tafadhali.
 
Unamkosoa mungu,

any way, nahisi wanaume wazuri wewe unafamahamu naomba utujuze wanafananaje?
 
Tukikutana na wanaume huwa often tunaangalia pochi,kazi,sura ya kime nk ...tunasahau kabisa kigezo cha UZURI/UHANDSOME.....matokeo yake ni kuzaa watoto wenye features/wasifu....wenye mushkeli kidogo,and as a result wanaishia kuwa BULLIED na kuwaondolea KUJIAMINI.....

wasichana tuna haki ya kchagua watu wenye wasifu kama wanaume wanavyotuchagua kwa SHAPE/SURA na kigezo cha 'UHANDSOME'...kisiwe OVERLOOKED tafadhali.....

Japo ni uhuru wa maoni lakini angalia usikosoe uumbaji wa Mungu kumbuka hujafa hujaumbika
 
Tukikutana na wanaume huwa
often tunaangalia pochi,kazi,sura ya kime nk ...tunasahau kabisa kigezo
cha UZURI/UHANDSOME.....matokeo yake ni kuzaa watoto wenye
features/wasifu....wenye mushkeli kidogo,and as a result wanaishia kuwa
BULLIED na kuwaondolea KUJIAMINI.....

wasichana tuna haki ya kchagua watu wenye wasifu kama wanaume
wanavyotuchagua kwa SHAPE/SURA na kigezo cha 'UHANDSOME'...kisiwe
OVERLOOKED tafadhali.....

to mee to much handsome no so long as awe ni mrefu uzur watanifanana mm
 
Unapochunguza vigezo hivyo ni vizuri ukajiangalia na wewe upoje....af ukiolewa na baba mzuri una uhakika wa sura za watoto wako zitakuwaje???
Umenikumbusha kuna siku mwalimu alitoa mfano kama huo darasani...... Alisema kuna kijana alikuwa na machaguo mawili ya kuoa. Chaguo la kwanza mdada alikuwa sura ndo vile tena ila kichwani yuko fit vibaya mno. Mwingine alikuwa mashallah ila kichwani ziro....kijana yeye alikuwa sura ya hivyohivyo tu ila kichwani yuko fit. Akapiga calculation za kibinadamu akasema ntaoa huyu mzuri mtoto akizaliwa atachukua sura ya mama na akili atachukua ya kwangu (as if yeye ndo anaumba na kugawa vipawa) Akaoa ila mtoto alipozaliwa matokeo yakawa tofauti...akili ya mama sura ya baba.
Wakati mwingine tuwe tunaacha nature iamue sio kila kitu ni cha ku-calculate.
 
Japo ni uhuru wa maoni lakini angalia usikosoe uumbaji wa Mungu kumbuka hujafa hujaumbika

Pole mkuu km imekugusa,mie siku zote nilijua wewe ni handsome???usijali vigezo vya uhandsome vinatofautiana ntu na ntu,unaweza ukawa sio handsome kwangu,ukawa kwa mwingine.....
 
Pole mkuu km imekugusa,mie siku zote nilijua wewe ni handsome???usijali vigezo vya uhandsome vinatofautiana ntu na ntu,unaweza ukawa sio handsome kwangu,ukawa kwa mwingine.....

Kwani amesema anajitetea yeye hapo...ye kasema ukweli anaoujua regardless ye yukoje
 
Pole mkuu km imekugusa,mie siku zote nilijua wewe ni handsome???usijali vigezo vya uhandsome vinatofautiana ntu na ntu,unaweza ukawa sio handsome kwangu,ukawa kwa mwingine.....
imaney nimetoa maoni yangu tu, unajua kuna watu walizaliwa maHB wa ukweli sana lakini maajaliwa ya muumba na mitihani ya dunia leo hii ukiwaona utawahurumia mno
 
Last edited by a moderator:
Kwani amesema anajitetea yeye hapo...ye kasema ukweli anaoujua regardless ye yukoje
Khantwe mi apa 1416155050117.jpg
 
Last edited by a moderator:
Unapochunguza vigezo hivyo ni vizuri ukajiangalia na wewe upoje....af ukiolewa na baba mzuri una uhakika wa sura za watoto wako zitakuwaje???
Umenikumbusha kuna siku mwalimu alitoa mfano kama huo darasani...... Alisema kuna kijana alikuwa na machaguo mawili ya kuoa. Chaguo la kwanza mdada alikuwa sura ndo vile tena ila kichwani yuko fit vibaya mno. Mwingine alikuwa mashallah ila kichwani ziro....kijana yeye alikuwa sura ya hivyohivyo tu ila kichwani yuko fit. Akapiga calculation za kibinadamu akasema ntaoa huyu mzuri mtoto akizaliwa atachukua sura ya mama na akili atachukua ya kwangu (as if yeye ndo anaumba na kugawa vipawa) Akaoa ila mtoto alipozaliwa matokeo yakawa tofauti...akili ya mama sura ya baba.
Wakati mwingine tuwe tunaacha nature iamue sio kila kitu ni cha ku-calculate.

Chances ni 50/50 mamito ukiolewa na mwanaume mzuri chances 50 percent utatoa mtoto mzuri, na sio 100 percent utatoa mtoto mzuri!...i mean sio DEFINATELY utatoa mtoto mzuri,ila ukiwa mbaya na mumeo mbaya,mtatoa mtoto mbaya,a coconut doesnt fall from mango tree!...ingawa kuna kuskip generation...
 
Back
Top Bottom