Mkandara
Linapokuja swala la dini na ujamaa huwa sikuelewi kabisa unazungumza nini. Moshi amekueleza vizuri kabisa ila wewe naona hukumuelewa kabisa. Achana na mambo ya historia hayawezi kutusaidia kitu hapa. JK akitawala kama alivyotawala JKN hawezi kufika mahali popote. Dunia imebadilika na watu wamabadilika jinsi wanavyofikiria mambo. Huwezi kutumia historia kutawala. Tembelea forum nyingi utagundua kuwa watu wengi wanaona JK ni mdini. Inawezekana kabisa kuwa JK aliteua watu wale bila kuwa na lengo la kidini, wale ni binadamu na wanaweza kuwa na dini yoyote. Mkandara, nadhani watu wengi humu hawakuelewi tunaomba kwa maneno machache ikiwezekana sensensi moja tunaomba utueleze kama unadhani kama JK hana tatizo lolote katika uteuzi wake. Kila mtoa hoja hapa ameeleza mawazo yake na nimeelewa vizuri kabisa mawazo ya Mkwawa yanalingana kabisa na mimi ninavyofikiria, Moshi naye ametoa yake ambayo nimeona ni valid kama mawazo yangu au mkwawa yasipofuatwa. Kama mtu unataka uteue tu watu bila kujali uwezo wao wa kazi lazima uangalie uwiano wa makabila na dini au hata jinsia. Sasa wewe unasemaje?
Linapokuja swala la dini na ujamaa huwa sikuelewi kabisa unazungumza nini. Moshi amekueleza vizuri kabisa ila wewe naona hukumuelewa kabisa. Achana na mambo ya historia hayawezi kutusaidia kitu hapa. JK akitawala kama alivyotawala JKN hawezi kufika mahali popote. Dunia imebadilika na watu wamabadilika jinsi wanavyofikiria mambo. Huwezi kutumia historia kutawala. Tembelea forum nyingi utagundua kuwa watu wengi wanaona JK ni mdini. Inawezekana kabisa kuwa JK aliteua watu wale bila kuwa na lengo la kidini, wale ni binadamu na wanaweza kuwa na dini yoyote. Mkandara, nadhani watu wengi humu hawakuelewi tunaomba kwa maneno machache ikiwezekana sensensi moja tunaomba utueleze kama unadhani kama JK hana tatizo lolote katika uteuzi wake. Kila mtoa hoja hapa ameeleza mawazo yake na nimeelewa vizuri kabisa mawazo ya Mkwawa yanalingana kabisa na mimi ninavyofikiria, Moshi naye ametoa yake ambayo nimeona ni valid kama mawazo yangu au mkwawa yasipofuatwa. Kama mtu unataka uteue tu watu bila kujali uwezo wao wa kazi lazima uangalie uwiano wa makabila na dini au hata jinsia. Sasa wewe unasemaje?