Rufiji,
Shukran kwa kuuliza isipokuwa tu nadhani hata wewe umeisha weka imani yako kutazama upande huo wa uwiano wa dini na makabila ktk kuchagua nafasi za watu serikalini.
Binafsi nalipinga na nadhani nimeeleza vya kutosha huko nyuma na yaonyesha wazi siwezi kubadilisha mtazamo wenu.
Utanisamehe kwa lugha niliyotoa kwa ndugu Augustine kwani haikuwa kabisa madhumuni ya hoja nzima isipokuwa niliweka timu ya mpira kwa makusudio ya kwamba kuna vitu ambavyo huwezi kabisa kutumia dini kuleta uwiano hasa pale ambapo hakuna ubaguzi. Na kama hamjaelewa hivyo basi itakuwa kazi kubwa. Sijui itakuwaje siku tukisikia Sheikh fulani anagoikmbea urais kama Mtikila.
Kuhusu hiyo list ya mabalozi nadhani unaweza ipata wizara ya mabo ya nje ama pitia balozi wote wa Tanzania nje kisha ondoa hao sita wapya! Waliobaki na wengine mawaziri leo hii warudishe Ubalozini mtapata hesabu kamili.
sasa huu ndio udini wenyewe maanake tunaanza kuhesabu vidole kuona huo uwiano wenu wa DINI ya mtumishi wa taifa.
Shukran kwa kuuliza isipokuwa tu nadhani hata wewe umeisha weka imani yako kutazama upande huo wa uwiano wa dini na makabila ktk kuchagua nafasi za watu serikalini.
Binafsi nalipinga na nadhani nimeeleza vya kutosha huko nyuma na yaonyesha wazi siwezi kubadilisha mtazamo wenu.
Utanisamehe kwa lugha niliyotoa kwa ndugu Augustine kwani haikuwa kabisa madhumuni ya hoja nzima isipokuwa niliweka timu ya mpira kwa makusudio ya kwamba kuna vitu ambavyo huwezi kabisa kutumia dini kuleta uwiano hasa pale ambapo hakuna ubaguzi. Na kama hamjaelewa hivyo basi itakuwa kazi kubwa. Sijui itakuwaje siku tukisikia Sheikh fulani anagoikmbea urais kama Mtikila.
Kuhusu hiyo list ya mabalozi nadhani unaweza ipata wizara ya mabo ya nje ama pitia balozi wote wa Tanzania nje kisha ondoa hao sita wapya! Waliobaki na wengine mawaziri leo hii warudishe Ubalozini mtapata hesabu kamili.
sasa huu ndio udini wenyewe maanake tunaanza kuhesabu vidole kuona huo uwiano wenu wa DINI ya mtumishi wa taifa.