sam said:Mzee ES
Hapa ndipo nimefika, nitakazana mpaka nihakikisehe TEF imefika kiwango cha BCS. Kuna watu wengi wana mawazo mazuri tu humu ila naona wengi wamekata tamaa kwa mambo yanavyoendeshwa nyumbani lakini halali mtu. You are party of the family tutakuenzi hivyo na hakuna atakayetuyumbisha.