Tatizo sio kupiga kura, huyo wema hakustahili ata kuingizwa kwenye tuzo, ivi binamu na wewe unaziamini sana kurs eeh? Mnakuwaga wote uko nn mnajua flan kapata kura flan au? Maana ulivyokazana na kupiga kura utadhan na ww n mmoja wa majaji binamu
Hizo tuzo bora zifutwee tu tuzo gan za kupiga unajirudiaaa mara miaa
WEwe uko nyuma patakuwa panakuwasha, sasa ivi nitakukuna mbuzi wewe
mpigie kura unaemtak mi wangu kashindaaa
roho kwatuuu
Hawa mbwa koko humu wee waache nitawashuhhulikia manina zao mpaka waanze ku bleed usaha
mpigie kura unaemtak mi wangu kashindaaa
roho kwatuuu
Kwa filamu ipi labda? KWeli hamjielewi polen
Hhhhaaaa bongo banaaa
Unafurahia mtu kupewe tuzo bila kazi yeyote? KWeli na wewe ndio wale wale, tusubiri tuzo za instagram tu mwaka huu,maana izi tuzo za ajabu ajabu kila siku zinaibuka
asante sana
hapa hawajasema film or whatever...
msanii wa kike anaependwa sie aliyetoa film mwaka upi
ulimpa kura riyama lakinii...
hhhahahaaaaa sawa bwana mie ndo walewale
ila mpigege kura jamani msiishie kulalamika tu
wema ana watu tutake tusitake na wametumia nguvu kubwa sana kumpigia kura
so na wewe ungetumia team yako kumpigia unaempendaaaaaaa
hongereni washindii wote
ktk hii dunia
usitegemee kuridhisha watu wotee
Wema ana mashabiki wengi ila sio muigizaji, yani nataman nikupasue binamu ujue? YAni unashobokea ujinga na wewe, yan mnaidhi binam
Bado tuzo za instagram tu mwaka huu, mana tuzo zimekuwa kama pampers siku izi kila mtu anapewa
Wema ana mashabiki wengi ila sio muigizaji, yani nataman nikupasue binamu ujue? YAni unashobokea ujinga na wewe, yan mnaidhi binam
Hhhhhhaaaaaaaaaaaa
Utashangaàaa na ktma anapata tuzo hhhaaaa bongo kila kitu kinawezekana
Hahahahahahaha bunamu natamani kukuona ulivyokasirika
Yani binamu nataman nimmeze mtu, ebu tuachilie mbali chuki binafsi, wema kaigiza movie gan mwaka huu au mwaka jana? Hawa wana akili zote kweli? Nina wasi wasi