Washindi wa "Tuzo za watu"

Washindi wa "Tuzo za watu"

Nilipiga mara 1000000000000000000! Kwani kuna mtu aliyekatazwa asipige kura awezavyo?
Shauri zenu, sie tulipiga kura usiku na mchana nyie mna kazi ya kumwaga mapovu tu huku jukwaani.
Sasa kama mtu mmoja anapiga kura kwa kadri awezavyo kuna umhimu gani wa kuita tuzo za watu, si Waite tu tuzo za jamaa na marafiki.
 
Wema Wema kweli mwacheni Wema aitwe Wema tuzo ni kwa msanii wa kike anayependwa sio ameigiza nini wala nini....
 
we ulipiga kura au?
huyo riyama ulimpigia...!
vitu vingine havimake sense

Tatizo sio kupiga kura, huyo wema hakustahili ata kuingizwa kwenye tuzo, ivi binamu na wewe unaziamini sana kurs eeh? Mnakuwaga wote uko nn mnajua flan kapata kura flan au? Maana ulivyokazana na kupiga kura utadhan na ww n mmoja wa majaji binamu
 
Hahahaaha ndugu fanya kujisumbua kidogo nenda kwen vibanda vya filam za kukodisha utapataaaa hahahah! Unafikir waandaaji ni mamburula kama wwwe mpaka wamweke kwenye category huku hakuna movie aliyorelease 2014????? Na ulikuwa wapi kukomplain wakat tuzo zimetangazwa? Hahahhahaahahah leo tulieni tu

Wewe ndio mburula wa mwisho, ivi unajua maana ya tuzo au unajiropokea? Mxiuuu mavi yko kajambe mbele uko
 
Riyama wampenda wewe siyo siyeeee hahahaha! Usimsingizie riyama bana sema tu una chuki na wema, hizi kelele mbona hukupiga wakat majina ya washindani yalivyokuwa released?? Hahaha halafu wewe unaweza kuwa ni mmoja wa washindani ila umekosa tuzo hahahahah!!

WEwe uko nyuma patakuwa panakuwasha, sasa ivi nitakukuna mbuzi wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom