Wasanii wasioiunga mkono CCM kukosa airtime Clouds

Wasanii wasioiunga mkono CCM kukosa airtime Clouds

Kwani hao wasanii ni maalum kiasi gani hata wapewe attention kiasi hicho?

Hivi kila mtu akitaka kubebwa kama wasanii wanavyolilia wabebwe si itakuwa malalamiko nchi nzima?

Tatizo la wasanii wa kitanzania ni kutaka kubebwa wakati hata ubora wa kazi zao ni wa hovyo tu...

Hasheem Thabeet ni mfano wa mtu maarufu ambaye ashawahi kuwaumbua hao viongozi baada ya kuanza kuonesha kujipendekeza wakati mafanikio yake yalikuwa ni juhudi binafsi...

Swali dogo tu, kuna kiongozi gani wa Ukawa ashawahi kuwasupport hawa wasanii pengine hata kwa kuwapa tu pongezi katika mafanikio wanayopata? Rais J. Kikwete amekuwa mtu wa karibu sana kwa hawa wasanii, je mlitaka wasahau fadhila zake? Chadema, CUF, NCCR na NLD hakuna hata mmoja ambaye hata kwa bahati mbaya tu aliwahi kutoa pongezi kwa jitihada zinazofanywa na wasanii. Kabla Ukawa hamjalaumu, mjiulize kwanza mmewasaidiaje hawa wasanii katika kazi zao.
 
Watu wanafuata page zao kwa ajili ya burudani sasa wanapoanza kunadi siasa ni upumbavu, nadhani wangefungua acc nyingine kwa ajili ya siasa na wangepata followers wakisiasa wa mlengo wao
Naunga mkono hoja mi nawa follow kwa mambo ya muziki na sio siasa jf yanitosha. Hafu wao ni kuandika mipasho kujenga hoja weupe walio wa force si wawaelekeze
 
naomba nikwambie mim sio secretar wa hzo ofisi lakin wew nikuulize utaratibu unaotumia kupata field kwanin usitumie utaratibu huo?

Sasa kama huo utaratibu Wa Ku volunteer haupo public mpaka nikahangaike na ma secretary ,huoni tatizo ni la mfumo na sio vijana kama ulivyosema awali
 
hahaaahaaaahaaaa....kazi kweli..mi kwa kweli wala hata hawanshtui maana ukiangalia hao wasanii woteerrr hamna mwanaharakati wa kweli hata mmoja hapo!
halafu hao wabongo movie na bongo fleva woteee ni sawa na prof jay peke ake
UKAWA TUNA WASANII MAKINI WANAOJUA NN WANAFANYA
TO ME I DON CARE..
MTU KM WEMA SIJUI,SNURAA..
HAAAAAAAAA.....!!!
Ptuuuuuuuu na waende wakashabikie tu wala hatujali!!
makahaba wenye viwango na wauza unga wenzao haoooo!!
mtu km daimond lazma amsapoti magufuli mana mkubwa fela ni mtu wake na mkubwa fela anagombea udiwani na ili mambo yake ya kuuza ngada na kusafirisha yaende poa lazma awe CCMMM
au wanajua hatujui km ndo ishu zao!!!
 
Hao wasanii wanashindwa nini kusimamia misimamo yao?
 
Acheni uzushi mi nasikilizaga power breakfast kila siku wale washikaji wote wa PB ni team Lowassa.... Kibonde na jahazi ni Team Lowassa.... na huwa wanatoa habari kwa usawa.
 
Kwani kuna mtu alilazimishwa kum-follow mtu kama siyo kiherehere chenu cha kutaka kujua maisha ya watu ni nini?

Mnajishebedua kwenye account za watu halafu mkikuta siyo nyumbu wenzenu mnang'aka!

Mta un follow watu wote kwa mtindo huu,mnataka wote wawe wana mtazamo sawa na wenu tu?

Halafu toka muanze kuhimizana ku-un follow naona idadi ya followers haipungui kwa hao jamaa.

Ninachotaka kwa mwanamziki ni mziki mzuri tu,kama mwimbaji ni mpagani/shoga/TLP/basha hayo hayanihusu.
 
Sasa kama huo utaratibu Wa Ku volunteer haupo public mpaka nikahangaike na ma secretary ,huoni tatizo ni la mfumo na sio vijana kama ulivyosema awali

mfumo unatengenezwa na sisi kwa kufanya utaratibu fulan kila cku,hata marekani hakuna sehemu wameandika karibu tuna pokea volunteer
 
nawewe thibitisha ni msanii aliyeccm aliwah kugonga kwako akakuomba chakula kama unavodai wana njaa

Kwani wasanii njaa wanaoneshaga njaa zao hadharani? Tunawatambua kwa matendo yao bora prof J hakutaka hii aibu... NJAA MBAYA SANA,
 
mfumo unatengenezwa na sisi kwa kufanya utaratibu fulan kila cku,hata marekani hakuna sehemu wameandika karibu tuna pokea volunteer

Kwa hiyo mfumo kama huo ukitengenezwa kwa kushirikiana vyuo vyetu na serikali houni kwamba ingekua ni rahisi Sana kutekelezeka ??? Marekani ipi unayoisemea wewe ???
 
Nabonyeza unfollow kama ifuatavyo. Mambekechu
 

Attachments

  • 1440014649507.jpg
    1440014649507.jpg
    38.1 KB · Views: 128
Hawa wasanii dawa yao ni kuwala mtandao na kuwahonga 100$ maana biashara ya uchangu ndo mtaji wao,soko liko ovyo,watumike tu na Lumumba
 
Back
Top Bottom