Awsom
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,085
- 307
wewe ni nani mpaka uisemee nafsi ya mtu?wao wanayosababu ya kuipenda ccm kama wewe ulivonasababu ya kuipenda ukawa,so dnt judge a person just because you want even hm/her to be with you in da same side...
Kuwa muelewa,hao baadhi ya Wasanii wanajidai wanaipenda CCM ili wapate visenti wasepe zao,NA CCM inawatumia kipindi hiki ili waweze kupata watu wengi kwenye mikutano yao lakini mioyoni mwao wasanii hawataki kuisikia CCM iliyowaletea umasikini kwa miaka zaidi ya 50..NJAA MBAYA SANA.Msimamo wetu ni kuwa HATUITAKI CCM NA KURA YETU NI KWA LOWASSA WA CHADEMA,UKAWA.