Wasanii wasioiunga mkono CCM kukosa airtime Clouds

Wasanii wasioiunga mkono CCM kukosa airtime Clouds

clouds c ya serikali ni ya mtu binafc,so mwenye nayo anahaki ya kufanya kile anachoona kna maslah kwake..ukiona vp co lazma uckilize clouds coz radio na tv ni nyng ckilizen hzo nyngne

Unafahamu taratibu za uendeshaji wa radio Kwa mwongozo wa tcra?? Au unaropokwa tu
 
clouds fm ni redio ya kizamani sana ! hivi kwanini kusaga anashindwa kuamini kwamba ccm inapigwa chini octoba ? hii ni kamari ya hatari sana ! halafu tukishinda itakuwaje ?
 
Kwa hiyo mfumo kama huo ukitengenezwa kwa kushirikiana vyuo vyetu na serikali houni kwamba ingekua ni rahisi Sana kutekelezeka ??? Marekani ipi unayoisemea wewe ???

ukawa na wasupport mnaposemaga "ppoz power" lakin hamtekelez.sio lazima wanavyuo washirikiane na serikali lakin ni vzr pia,cha msingi ni wanavyuo kuwa na umoja kuhakikisha hili lina fanikiwa...wew 1 ukipeleka omb kwenye kampun unaweza ukakataliwa lakin watu 20 au kwa umoja wakipeleka maombi yao kwenye kampuni habadani haiwez ikawakataa wote....
 
Tatizo wanatumiwa vibaya na CCM na kuharibu reputations yao.

mimi nikuulize mf.wewe unaishabikia labda ukawa unaharibu reputation yako?mim siamini kuwa reputation inaharibiwa kwa kua chama fulan kama ilishndwa kuharibika kwenye skendo zao zakipuuz na bado watz tukaendelea kuwakubal siamini kama kua chama fulan kitasababsha sis kuachakuendelea kuwakubal unless othrwise watz tumelewa siasa
 
unfollow wote hao wapuuzi Kama unafollow

DONE! Kwangu IG ni sehemu ya burdani baada ya kazi ngumu ya ujenzi wa taifa, kampeni na stress za siasa zipo hapa jf za kutosha kabisa, hao nimewaweka pembeni nitawa follow tena uchaguzi ukiisha....kama kutakuwa na umuhimu
 
ndugu zangu ukisikia mapinduzi ya kweli yaliyo wahi kutokea ni wazi yalianzishwa na vijana wa vyuo vikuu walio choshwa na mifumo kandamizi ktk nchi zao
tuanze na mifano michache zamani kabla ya kuwa na wasomi wengi wakolon walitusomeshea wazazi wetu wachache
lakin wale wachache mfano mwalimu nyerere alikuwa msomi wakati ule aliongoza wenzake ktk harakati xa kudai uhuru kamili wa nchi yetu Tanganyika japokuwa utawala wa mkolon ulikuwa umeimarika sana lakin nyerere kwakutumia mtandao wawasomi waliwaelimisha wengi na wakapata uhuru japo ilikuwa kwa mateso mengi sana

afrika kusini mzee nelson mandela naye aliongoxa mtandao wawasomi kwa mateso makubwa kupata uhuru kamili wa nchi yake leo ni nchi nzuri
na nyingi za afrika. hiyo yote nilitaka kurudisha mawazo yako hapa iliujitambue kama kijana na nafasi yako ktk ukombozi wa pili wa nchi yetu
ndugu xangu hii mitandao ya kijamii ni njia nzuri katika uhamasishaji wa mabadiliko sasa tunasisitiza vijana wasomi kuitumia ipasavyo kuhamasisha ili watu kupata elimu ya kutosha ya kimapinduz ya mabadiliko ktk taifa letu. tuwaelimishe watanzania umuhimu wa kuwa na kiongozi bora asiye kuja kulinda maslahi ya viongozi wenzake mwenye nia ya kuliinua pato la taifa na kuwa inua wananchi sio kuja kusimamia mikataba mibovu kwa maslahi yao binafsi sio kiongoxi mweka chama chake mbele bila kuzingatia wananchi wana hali gani
watu waliobaki ni ss vijana wasanii wa taifa hili wamesha tumiwa kwa maana hiyo wamefungwa midomo wameshakuwa makasuku wa taifa wa watawala kwa matakwa yao sasa sis tuchukuwe jukumu kupinga vikali hadharan bila kuogopa chochote tukiamini mapinduzi yataletwa kwa utashi wetu juu ya kiongozi tunaye mwitaji

ndug wasomi vyuo vikuu huu mtandao wa whats up umeshawahi kupindua serikali kadhaa kwa kutumia vijana wasomi waliokataa kutumika kwa maslahi ya wachache
angalien mhawanyo wa stahiki za uma zilivyo zimezingatia jina na nguvu aliyo nayo mtu ktk cheo chake
tukataen kuwa kati aina moja hii ya utawala tusisitize demokrasia tuwafundishe watu wote ubaya wa hiki chama tawala na mfumo wake tuwakatae ktk box la kura napia tuwe tayari kulipigania taifa letu hata ikifikia kupoteza uhai wetu

watuwetu hawana elimu bora, afya zao zinayumba hawana matumaini deni la taifa limepanda uchumi wa taifa umeshuka fedha yetu imeporomoka hatuna majibu ya matatizo ya watu wetu jamn tufundishe watu makanisan, misikitin na wasio na din tunalotaka taifa letu lile ambalo lilikuwepo kabla ya kutawaliwa

kijana mwenye uchungu na taifa hili atakuwa mzalendo na mwalimu ktk jamii aliopo ilikuwafundisha ndugu zetu watz juu ya nani atafaa kuliongoza taifa letu
tukataen hadharani mfumo wao na watu wao pia
kijana chukuwa hatua sasa nikwa moaka mitano tena kama hukuwa na kazi ujue hutaipata tena, maana sera zao ni zilezile waliuza viwanda na vingine wakaviuwa kwa ulafi leo hakuna ajira
wametupeleka vyuo vikuu tukasome ili tujekuwa ombaomba kwako
hawana sera kabisa mtawasikia cha zaidi watahonga fedha nyingi na vitisho vingi

vijana tuamuen sasa kesho mbali tutumie hii mitandao asiwepo wakulala mpaka ukombozi umekamilika
 
Swali dogo tu, kuna kiongozi gani wa Ukawa ashawahi kuwasupport hawa wasanii pengine hata kwa kuwapa tu pongezi katika mafanikio wanayopata? Rais J. Kikwete amekuwa mtu wa karibu sana kwa hawa wasanii, je mlitaka wasahau fadhila zake? Chadema, CUF, NCCR na NLD hakuna hata mmoja ambaye hata kwa bahati mbaya tu aliwahi kutoa pongezi kwa jitihada zinazofanywa na wasanii. Kabla Ukawa hamjalaumu, mjiulize kwanza mmewasaidiaje hawa wasanii katika kazi zao.

kama ndio walivyokutuma uwaambie wameliwa. kama mdogo wao marlaw nao ndo wanapotea hivyo kwenye game. kwanza tuna unfollow, kiisha hata kkaz zao hatuzitaki watawauziahao masisiemu. na huku kwetu hatuwatamani hata waje maana tumejitosheleza
 
Nilikuwa nikimfollow dangote insta ila ujinga alioupost leo ilikuwa sina budi bali ni kumkata tu, kwa sasa hayuko miongoni mwa ninaowafollow. Wamegaiwa visent ama ahadi hewa wakasahau shida za ndugu zao mitaani

Hujampunguzia kitu maana alikua hata hakutambui
 
Hii nchi watu wataendelea kuwa watumwa kwa muda mrefu sana...

Watu wanadhalilishwa kwa sababu ya umasiki wao uliokithirishwa na utawala mbovu wa CCM...
 
mimi nikuulize mf.wewe unaishabikia labda ukawa unaharibu reputation yako?mim siamini kuwa reputation inaharibiwa kwa kua chama fulan kama ilishndwa kuharibika kwenye skendo zao zakipuuz na bado watz tukaendelea kuwakubal siamini kama kua chama fulan kitasababsha sis kuachakuendelea kuwakubal unless othrwise watz tumelewa siasa

Mkuu reputations zao zibaharibiwa pale wanapooneka ni wa muhimu kipindi hiki cha mwisho kuelekea uchaguzi wakati matatizo yao mengine ambayo huwa wanaya address serikalini hayashuhulikiwi...KAMA CCM WANGEKUWA WANAWAJALI WASANII KWELI WANGETIMIZA AHADI YAO YA kuwajengea studio mpya,kuhakikisha wana hati miliki na kazi yao haipotei n.k

Mi naona hapa hutaki kukubali ukweli na unabisha tu kwa kuwa upo CCM na labda unanufaika. kwaheri ila huo ndio ukweli mkuu.
 
DONE! Kwangu IG ni sehemu ya burdani baada ya kazi ngumu ya ujenzi wa taifa, kampeni na stress za siasa zipo hapa jf za kutosha kabisa, hao nimewaweka pembeni nitawa follow tena uchaguzi ukiisha....kama kutakuwa na umuhimu
safi sana
 
Kuna msanii anaitwa Mwana FA ni muosha kinywa ile mbaya...

Hakuna watu wana akili ya mbuzi kama wasanii wa Tanzania...

Lakini mwaka huu hawatafaulu kuzuia transformation...
 
Msanii kama wema anajulikana anauza k katalunya akashauri makahaba wenzie
 
Kuna msanii anaitwa Mwana FA ni muosha kinywa ile mbaya...

Hakuna watu wana akili ya mbuzi kama wasanii wa Tanzania...

Lakini mwaka huu hawatafaulu kuzuia transformation...

ndg yang wew unataka kuniambia hukujua mda wote kuwa ni mbuzi had kipindi hiki,kisa wameamua kuwa upande fulan?kwanin ukawa mnalazimisha kila mtu aamini mnachokiamin?kama ni hvo nin maana ya mult-partism kuwepo?
 
Back
Top Bottom