Wasanii wasioiunga mkono CCM kukosa airtime Clouds

Wasanii wasioiunga mkono CCM kukosa airtime Clouds

ndg yang wew unataka kuniambia hukujua mda wote kuwa ni mbuzi had kipindi hiki,kisa wameamua kuwa upande fulan?kwanin ukawa mnalazimisha kila mtu aamini mnachokiamin?kama ni hvo nin maana ya mult-partism kuwepo?

Sikufahamu punde kwamba huyu jamaa ni punda ya CCM, nilifahamu kitambo tuu...

Ndio maana sikutaja msanii mwingine zaidi yake...
 
Sikufahamu punde kwamba huyu jamaa ni punda ya CCM, nilifahamu kitambo tuu...

Ndio maana sikutaja msanii mwingine zaidi yake...

kwani ni dhambi kuwa ccm?ni haki yake kuwa upande anaoupenda,upande unaompa sababu yakuwepo huko kama wew ulivo na sababu ya kuwa ukawa!!
 
kama ndio walivyokutuma uwaambie wameliwa. kama mdogo wao marlaw nao ndo wanapotea hivyo kwenye game. kwanza tuna unfollow, kiisha hata kkaz zao hatuzitaki watawauziahao masisiemu. na huku kwetu hatuwatamani hata waje maana tumejitosheleza

dnt be silly like your name..marlaw kapotea kwa sababu zake,unataka kuniambia wote waliopotea wamesababishwa na kuwa katka kampeni za ccm?daz baba,ferooz,sister p,nk,wote hawa wamepotea kwa sababu ya kampen za ccm?mbna khadija kopa kila uchaguz yupo na hajapotea?
 
dnt be silly like your name..marlaw kapotea kwa sababu zake,unataka kuniambia wote waliopotea wamesababishwa na kuwa katka kampeni za ccm?daz baba,ferooz,sister p,nk,wote hawa wamepotea kwa sababu ya kampen za ccm?mbna khadija kopa kila uchaguz yupo na hajapotea?
Wamepotea kwa kutokuwa na vision kama wewe. Na wewe kajiimbishe huko uone utakavyopotea na wewe.
 
Katika siku za karibuni ccm imekuwa ikilaumiwa kutumia wasanii kuvutia watu wahudhurie mikutano yao. Kwa mtazamo wangu hata vitabu vya mungu vinasema siku ya mwisho kabla ya watu kukusanyika kutapigwa parapanda (mziki huo). Kwa hiyo ccm wamatumia njia sahihi kuvuta watu. Himo hata kwenye maandiko.
 
Katika siku za karibuni ccm imekuwa ikilaumiwa kutumia wasanii kuvutia watu wahudhurie mikutano yao. Kwa mtazamo wangu hata vitabu vya mungu vinasema siku ya mwisho kabla ya watu kukusanyika kutapigwa parapanda (mziki huo). Kwa hiyo ccm wamatumia njia sahihi kuvuta watu. Himo hata kwenye maandiko.
Kwa hiyo watu wanafuata mziki na sio kusikiliza mikutano??
 
Kila kitu imekuwa ushabiki tu, hatupimi kabisa. ndiyo maana hata kama mabadiliko kutufikisha pazuri Watanzania ni kazi sana. Hadi labda sisi tunaojiita wasomi tufanye mapinduzi makubwa kuanzia akili na nguvu zetu. maana hata haya matatizo bado hata sisi tunachangia kwa kiasi kikubwa sana
 
Parapoanda itakayopigwa siku ya mwisho sio mziki.Usilinganishe vitu visivyo kinganishwa.Parapanda ya Mungu inakusanya wateule,ya CCM inakusanya waovu,they are not comparable.
Katika siku za karibuni ccm imekuwa ikilaumiwa kutumia wasanii kuvutia watu wahudhurie mikutano yao. Kwa mtazamo wangu hata vitabu vya mungu vinasema siku ya mwisho kabla ya watu kukusanyika kutapigwa parapanda (mziki huo). Kwa hiyo ccm wamatumia njia sahihi kuvuta watu. Himo hata kwenye maandiko.
 
Back
Top Bottom