Nmekusoma mkuu....ila capitalism hii baba kila mtu anatafuta namna ya kupenya
Na hapo ndipo wanapokosea unatakiwa kuwa neutral ili yoyote atayepata unakuwa safe. Sasa ukiwa upande fulani ukishindwa mnashindwa wate
Nmekusoma mkuu....ila capitalism hii baba kila mtu anatafuta namna ya kupenya
Tatizo ni CCM inawaadaa vijana kwa kuwatumia kipindi hiki cha kukaribia uchaguzi kisha itawatupilia mbali baada ya uchaguzi. WASANII WA TANZANIA HUWA HAWAISHIWI MALALAMIKO JUU YA SERIKALI.
Nimepata taarifa kuwa kuna amri imetolewa kwa wasanii kumsuport mgombea wa CCM na CCM kiujumla, na atakaye kaidi hilo basi asahau kuwekwa hewani na chanel hiyo. Sina hakika maana mi si mmoja wa wasanii na wala sijapokea amri hiyo. Ila kwa haraka haraka nimejaribu kupitia account za wasanii wengi na kuanza kuamini hilo . Hapa chini nimeambatanisha baadhi ya screen short toka kwenye account za wasanii.
View attachment 278303View attachment 278304View attachment 278305View attachment 278306
Nimepata taarifa kuwa kuna amri imetolewa kwa wasanii kumsuport mgombea wa CCM na CCM kiujumla, na atakaye kaidi hilo basi asahau kuwekwa hewani na chanel hiyo. Sina hakika maana mi si mmoja wa wasanii na wala sijapokea amri hiyo. Ila kwa haraka haraka nimejaribu kupitia account za wasanii wengi na kuanza kuamini hilo . Hapa chini nimeambatanisha baadhi ya screen short toka kwenye account za wasanii.
View attachment 278303View attachment 278304View attachment 278305View attachment 278306
Mkuu nimefanya research kuhusu suala la ajira Tanzania sijakurupuka..The main reason why so many Tanzanian educated youths hawana ajira sio kwamba hawataki kuvolunteer au kuomba internship...ni kwamba hata hizo nafasi hazipo kwasababu hakuna favouring policies kwa vijana wa kitanzania katika makampuni mengi both public n private ones.
Nime Unfollow wasanii wajingawajjnga woote Insta.
Swali dogo tu, kuna kiongozi gani wa Ukawa ashawahi kuwasupport hawa wasanii pengine hata kwa kuwapa tu pongezi katika mafanikio wanayopata? Rais J. Kikwete amekuwa mtu wa karibu sana kwa hawa wasanii, je mlitaka wasahau fadhila zake? Chadema, CUF, NCCR na NLD hakuna hata mmoja ambaye hata kwa bahati mbaya tu aliwahi kutoa pongezi kwa jitihada zinazofanywa na wasanii. Kabla Ukawa hamjalaumu, mjiulize kwanza mmewasaidiaje hawa wasanii katika kazi zao.
Nimepata taarifa kuwa kuna amri imetolewa kwa wasanii kumsuport mgombea wa CCM na CCM kiujumla, na atakaye kaidi hilo basi asahau kuwekwa hewani na chanel hiyo. Sina hakika maana mi si mmoja wa wasanii na wala sijapokea amri hiyo. Ila kwa haraka haraka nimejaribu kupitia account za wasanii wengi na kuanza kuamini hilo . Hapa chini nimeambatanisha baadhi ya screen short toka kwenye account za wasanii.
View attachment 278303View attachment 278304View attachment 278305View attachment 278306
ngoja nikwambie marekani sio kwamba kuna ajira za kumwaga la hasha bali wanavyuo wakimaliza wapo tayar kuvolunteer kufanya kaz wthout payment mpaka waajir wanajenga imani nao na kuajiriwa,hapa tz wanavyuo wetu wanataka cheap thngx vitu vya direct,direct unatoka chuo unaajiriwa na kulipwa kitu ambacho sio wote wanapata hyo chance...ukiangalia makampun yanatangaza yanataka mtu experiencd wa miaka kadhaa lakin wew kama umevolunteer unabig chance yakupata that chance kwasababu wanakuona uchapakaz wako lakini sisi watz tunataka vitu mteremko watz wenzangu haiwezekani
Volunteer Wa BOT ,TRA, TPA, AIRPORTS, TANAPA ,utaratibu wao ukoje mkuu haha
Swali dogo tu, kuna kiongozi gani wa Ukawa ashawahi kuwasupport hawa wasanii pengine hata kwa kuwapa tu pongezi katika mafanikio wanayopata? Rais J. Kikwete amekuwa mtu wa karibu sana kwa hawa wasanii, je mlitaka wasahau fadhila zake? Chadema, CUF, NCCR na NLD hakuna hata mmoja ambaye hata kwa bahati mbaya tu aliwahi kutoa pongezi kwa jitihada zinazofanywa na wasanii. Kabla Ukawa hamjalaumu, mjiulize kwanza mmewasaidiaje hawa wasanii katika kazi zao.