MOTOCHINI
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 29,009
- 35,009
Umemfollow Mbowe?
Anafurahisha mazuzu
Umemfollow Mbowe?
Kwanini umshutumu msanii ana njaa, ilhali mbooow kaiuza chadema kwa ulafi.
Au ndo mkuki kwa nguruwe.
Wasanii wenyewe hawajitambui wanahongeka ka wa. Pu MBA vu tu. Baadae ohh tunaonewa Archana nao
Nime Unfollow wasanii wajingawajjnga woote Insta.
Eddo ukishika nchii tufute hawa wahuni sijui bongo nini?wafe njaa.akili zikiwarudi tutawaruhusu waendelee kuimba na kuigiza ujinga wao
Amna jamani tusifike huko...nao ni Watanzania wanamirengo yao kama sisi tulivyo. ..mtu kaamua kumuunga mkono magufuli au lowasa ni yeye mwenyewe tu . kazi zake sikiliza au angalia ila kwenye mihemuko yake ya kisiasa isikuhusu
Kwanini umshutumu msanii ana njaa, ilhali mbooow kaiuza chadema kwa ulafi.
Au ndo mkuki kwa nguruwe.
Hakuna msanii anayeipenda CCM au kumpenda magufuli,usidanganyike..ni kwavile CCM inataka kuwatumia kupata watu wengi kwenye mikutano yao na hao ni wasanii njaa. HATUITAKI CCM NA UFISADI WAKE NA WIZI WA MALI ZA UMMA. Kura yetu ni kwa LOWASSA WA CHADEMA,UKAWA.
Hakuna msanii anayeipenda CCM au kumpenda magufuli,usidanganyike..ni kwavile CCM inataka kuwatumia kupata watu wengi kwenye mikutano yao na hao ni wasanii njaa. HATUITAKI CCM NA UFISADI WAKE NA WIZI WA MALI ZA UMMA. Kura yetu ni kwa LOWASSA WA CHADEMA,UKAWA.
Amna jamani tusifike huko...nao ni Watanzania wanamirengo yao kama sisi tulivyo. ..mtu kaamua kumuunga mkono magufuli au lowasa ni yeye mwenyewe tu . kazi zake sikiliza au angalia ila kwenye mihemuko yake ya kisiasa isikuhusu
Toa ushahidi kwa maelezo yako...kama huna ushahidi ni bora unyamaze kuliko kujiaibisha hapa.
Swali dogo tu, kuna kiongozi gani wa Ukawa ashawahi kuwasupport hawa wasanii pengine hata kwa kuwapa tu pongezi katika mafanikio wanayopata? Rais J. Kikwete amekuwa mtu wa karibu sana kwa hawa wasanii, je mlitaka wasahau fadhila zake? Chadema, CUF, NCCR na NLD hakuna hata mmoja ambaye hata kwa bahati mbaya tu aliwahi kutoa pongezi kwa jitihada zinazofanywa na wasanii. Kabla Ukawa hamjalaumu, mjiulize kwanza mmewasaidiaje hawa wasanii katika kazi zao.
Kijana unaaabisha chuo cha SAUT
SWALI: Inakuaje wasaniii wooooooote waweke the same picture?
Ndoroooooooobo wewe
watanzania tunalalamika vijana hatuna ajira,vijana wakitumia vipaji vyao mnakuja na kauli kama hz.hv ni dhambi mtu kupenda chama fulani au kusupport mtu wa chama fulan?hv wew tungekua humu tunakutukana kisa upo ukawa tungekua tunakutendea haki?