Kama unapenda ku-scratch ovyo ujue jela inakuita! Be careful! Kwani lazima ? Usipofanya utakufa?
Tafuta mtu mzima mwenzio kama huwezi kujizuia.
womenofsubstance,
inabidi tujitolee muda wetu kufanya elimu ya sheria hii kwa watoto wa shule hasa za msingi. Make hawa watoto wakijua haki zao basi tutakuwa tumezuia" kina maumba" kurudi katika jamii yetu.
Yes we can....tunaweza kujenga jamii safi na yenye kutii sheria...nikuwafanya watoto kuwa pro-prosecution like. Zamani mtoto alikuwa wa jamii, kiasi jirani akiona kitendo kichafu anakivalia njuga hata mpaka polisi...siku hizi lililobaki ni kuwaonyesha mwanga hawa watoto under 18.