kipapi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 1,056
- 1,374
Nimekaa natafakari wasanii na muziki wetu huu wa Bongofleva ya sasa na ule wa zamani (old school).
Kiukweli nimegundua kuwa wasanii wa sikuhizi sio wabunifu ingawa utandawazi na teknolojia imekuwa kwa kiasi kikubwa. Mashairi na tungo za sikuhizi ni kama zinafanana kwa kiasi kikubwa yaani hamna ubunifu sio kwenye mashairi na tungo wala midundo ya beats. Kweli zama hazirudi na old itabaki kuwa gold.
Hivi unawakumbuka wasanii hawa na ngoma zao miaka ile?
1. Mzimuni Family ft. Q-chief- Kupiga Debe
2. Solid Ground Family- Baba Jeni
3. Manduli Mobb ft Juma Nature- Maskini Jeuri
4. Manyema Family ft Juma Nature- Jinsi Tulivyo
5. YP & Y-dash-Shemsa
6. Balozi ft Sugu-Dar dsm
7. Dully Sykes ft Sebastian Ndege-Leah
8. B-Boy ft Hardmad- Sina Demu
9.Prof Jay- Bongo dsm
10.Ocg ft Juma Nature- Akwelina
11.John Walker ft Hardmad- Sophia
12.Imam Abbas ft Juma Nature -Mitaa ya Kati (bila sanaa)
13.Daz Nundaz- Nitafanya nini (hayaishi kunigasi)
14.Armstrong & Bandago- Sikia Michano
15.Dollo ft Juma Nature -Radhia
16.Boys from the Army ft. Inspector Haroun- Siku za Hukumu za Mwisho
17.Afande Sele ft. Prof Jay & Solo Thang- Mtazamo
18.Jay Mo ft Dully Sykes- Maisha ya Boarding
19.Wagosi wa kaya- Wauguzi
20.Danny Msimamo- Siku nzuri
Ukiskiliza bongofleva za kitambo (old school) hizi nyimbo za wasanii wa siku hizi kwakweli utaona wanaimba takataka.
Enzi hizo ili usikike Maprodyuza walikuwa wawili tu, Mika Mwamba na P-funk, sio utitiri uliojaa sasahivi.
Mimi simu yangu imejaa midundo ya zamani tu, huwezi kufungua playlists katika simu yangu ukaona hawa watumia mikorogo na wabana pua.
Kama unakumbuka enzi hizo hebu tupia na wewe midundo yako ya Bongofleva (Old school) tuburudike pamoja.
Baadae ntatupia na audio (mp3) ili Kila mdau wa midundo hii akumbuke enzi
Kiukweli nimegundua kuwa wasanii wa sikuhizi sio wabunifu ingawa utandawazi na teknolojia imekuwa kwa kiasi kikubwa. Mashairi na tungo za sikuhizi ni kama zinafanana kwa kiasi kikubwa yaani hamna ubunifu sio kwenye mashairi na tungo wala midundo ya beats. Kweli zama hazirudi na old itabaki kuwa gold.
Hivi unawakumbuka wasanii hawa na ngoma zao miaka ile?
1. Mzimuni Family ft. Q-chief- Kupiga Debe
2. Solid Ground Family- Baba Jeni
3. Manduli Mobb ft Juma Nature- Maskini Jeuri
4. Manyema Family ft Juma Nature- Jinsi Tulivyo
5. YP & Y-dash-Shemsa
6. Balozi ft Sugu-Dar dsm
7. Dully Sykes ft Sebastian Ndege-Leah
8. B-Boy ft Hardmad- Sina Demu
9.Prof Jay- Bongo dsm
10.Ocg ft Juma Nature- Akwelina
11.John Walker ft Hardmad- Sophia
12.Imam Abbas ft Juma Nature -Mitaa ya Kati (bila sanaa)
13.Daz Nundaz- Nitafanya nini (hayaishi kunigasi)
14.Armstrong & Bandago- Sikia Michano
15.Dollo ft Juma Nature -Radhia
16.Boys from the Army ft. Inspector Haroun- Siku za Hukumu za Mwisho
17.Afande Sele ft. Prof Jay & Solo Thang- Mtazamo
18.Jay Mo ft Dully Sykes- Maisha ya Boarding
19.Wagosi wa kaya- Wauguzi
20.Danny Msimamo- Siku nzuri
Ukiskiliza bongofleva za kitambo (old school) hizi nyimbo za wasanii wa siku hizi kwakweli utaona wanaimba takataka.
Enzi hizo ili usikike Maprodyuza walikuwa wawili tu, Mika Mwamba na P-funk, sio utitiri uliojaa sasahivi.
Mimi simu yangu imejaa midundo ya zamani tu, huwezi kufungua playlists katika simu yangu ukaona hawa watumia mikorogo na wabana pua.
Kama unakumbuka enzi hizo hebu tupia na wewe midundo yako ya Bongofleva (Old school) tuburudike pamoja.
Baadae ntatupia na audio (mp3) ili Kila mdau wa midundo hii akumbuke enzi