ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Ndugu, wajitahidi kumsetiri, lakini huyu Mama alijianzishia mwenyewe, mara baada ya kuapishwa. Mwenyewe ndie aliyalitaka sijui alidhani litamjenga? Kwa kukosa busara/hekima kalikoroga swala ambalo kamwe hatoweza kulifuta hata ukimwombea radhi...jamani tusijadili jinsia yake.
..tujadili kauli na matendo yake.
..na wewe unapaswa kuomba radhi.