Wasaidizi wa Rais Samia warekebishe makosa aliyofanya katika mahojiano na BBC, vinginevyo ataonekana siyo muungwana

kama unaona alikosea kwa nn usimuambie kikeke afanye masahihisho?! au unataka interview irudiwe?
kuna mambo mengi ya msingi yanapaswa yashughulikiwe sio jambo hili ambalo haliongezi dawa mahospitalini wala haliongezi kodi ya nchi, wala haliongezi chanjo ya corona, wala halipunguzi maendeleo ya watanzania.
watanzania wenzangu nawaomba tujikite kujadili mambo ya msingi kwa taifa letu sio hoja ambazo hazina maana ambazo zinapoteza uwezo wetu wa kufikiria changamoto zinazo tukabili kama taifa.
Yaani wewe jolojolo yaani huyo mwanamke uwezo mdogo uwezo wa kujieleza Hana kweli kila kitu madawa hospitalini utafikiri hata hayo madawa yapo ,,, msimruhusu tena kuhojiwa na mwandishi yeyote mbona Magu alikuwa mwoga kuhojiwa na vyombo hivi vya kimagharibi sabb alihofia kukosea ,, mama anajifanya mjuaji hata uwezo wake mdogo sana
 
Hakuna binadamu aliye mkamilifu. Rais SSH alifanya makosa kwa kutoa kauli zisizo "sahihi" ktk interview yake na Salum Kikeke wa BBC.

Hilo siyo jambo geni kumtokea kiongozi yeyote yule. Kinachofanyika ktk mazingira kama hayo ni kiongozi mwenyewe, au wasaidizi wake, kujitokeza kuomba RADHI na kurekebisha makosa yaliyojitokeza.

Nashangaa kwanini mpaka sasa hivi hakuna mtu wa IKULU aliyejitokeza kurekebisha kauli alizotoa Rais. Ukimya huu wa Rais SSH, pamoja wasaidizi wake, unaweza kuleta hisia kwamba Rais hakukosea kibidamu, bali alifanya makusudi au alidhamiria kutoa majibu yale.

Zaidi ya kuharibu taswira ya Rais na kuporomosha heshima yake, hali hiyo inatoa mwanya kwa Rais kuitwa majina mabaya yenye kumvunjia heshima.

Hivi kweli Rais SSH ameridhika na majibu aliyotoa kwa BBC? Je, wasaidizi wake wanadhani Rais ametenda sawa, na kwa kukaa kimya wanamtendea haki Rais?

Nawasihi wasaidizi wa Rais wajitokeze kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza, na kuwaomba RADHI wananchi.

cc Richard, Nguruvi3 , Pascal Mayalla
Kwani yeye anasemaje ameomba msaada wa kurekebisha rais hamywi bia anajua kila kitu
 
Mbona tunaambiwa nchi inaongoza kwa rasilimali Africa nzima
Sawa inaongoza, je inatunufaisha kwa kiwango tunachokihitaji? Jibu ni hapana kwa sababu wengi wanataka kuzitumia rasilimali zetu kujinufaisha wao zaidi. Mfano Bandari ya Bagamoyo hadi sasa mradi umekwama kwa sababu masharti ya mwekezaji yanalenga kujinufaisha Yeye zaidi
 
Kinachotakiwa ni kuwaondoa waliompotosha kwenye nafasi zao.
Hilo ni zaidi ya kuomba radhi kwe wenye akili.
Hata kama ni washirika wake wa kutegemewa sana, aweza kubadili vyeo vyao ili kuongeza ufanisi na pia kuonesha kutoridhika na yaliyotokea.
Nyakati za kutumia ubabe wa wazi bila akili zimepita.
Washauri lazima wawe na uwezo wa kutumia akili nyingi na nguvu kidogo ili mambo yaende.
 
Sawa inaongoza, je inatunufaisha kwa kiwango tunachokihitaji? Jibu ni hapana kwa sababu wengi wanataka kuzitumia rasilimali zetu kujinufaisha wao zaidi. Mfano Bandari ya Bagamoyo hadi sasa mradi umekwama kwa sababu masharti ya mwekezaji yanalenga kujinufaisha Yeye zaidi
Wengi wa kina nani acha propaganda na uongo wa kitoto, bunge wabunge wote ni waccm, rais wa ccm wanashindwa nin kupitisha Sheria zitakazolinda rasilimali na kuinufaiha nchi
 
Raisi hatakiwi kuomba radhi kamwe.huo ni bonge la udhaifu.kinachotakiwa ni kufafanua kile ambacho hakikueleweka kwenye statement yake.Raisi atoke hadharani aanze kusema ohooo nilighafirika sababu nilikuwa na hofu ya camera,what?Hayo atatafanya kwa mumewe tu.Akiomba radhi ataonyesha dhaifu kabisa kwamba huwa analopoka lopoka hovyo bila mpango.
..mtu yeyote MUUNGWANA huwa anaomba radhi pale anapokosea.

..Na anayeomba radhi ni mtu anayejiamini na JASIRI kuliko yule asiyeomba radhi.

..Mtu mgumu kuomba radhi naamini ni dhaifu mwenye inferiority complex.

 
Ila kwa mwanamke kuwa mwongo au katili na dikteta uchwara haipendezi...

Mama aombe tu radhi, tutamsamehe bila shaka...

Mwanamke kuwa mwongo haileti picha nzuri...!!
 
Hakuna mwomba msamaha hapo yaani mara hii mmesahau namna uchaguzi wa wenye viti wa mitaa ulivyoendeshwa? hicho alichokisema ndicho kiujazacho moyo wake jamani .

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Hakuna binadamu aliye mkamilifu. Rais SSH alifanya makosa kwa kutoa kauli zisizo "sahihi" ktk interview yake na Salum Kikeke wa BBC.

Hilo siyo jambo geni kumtokea kiongozi yeyote yule. Kinachofanyika ktk mazingira kama hayo ni kiongozi mwenyewe, au wasaidizi wake, kujitokeza kuomba RADHI na kurekebisha makosa yaliyojitokeza.

Nashangaa kwanini mpaka sasa hivi hakuna mtu wa IKULU aliyejitokeza kurekebisha kauli alizotoa Rais. Ukimya huu wa Rais SSH, pamoja wasaidizi wake, unaweza kuleta hisia kwamba Rais hakukosea kibidamu, bali alifanya makusudi au alidhamiria kutoa majibu yale.

Zaidi ya kuharibu taswira ya Rais na kuporomosha heshima yake, hali hiyo inatoa mwanya kwa Rais kuitwa majina mabaya yenye kumvunjia heshima.

Hivi kweli Rais SSH ameridhika na majibu aliyotoa kwa BBC? Je, wasaidizi wake wanadhani Rais ametenda sawa, na kwa kukaa kimya wanamtendea haki Rais?

Nawasihi wasaidizi wa Rais wajitokeze kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza, na kuwaomba RADHI wananchi.

cc Richard, Nguruvi3 , Pascal Mayalla
Mkwere aliitwa majina yote, Mkapa aliitwa majina yote, Mwinyi aliitwa majina yote na Magufuli pia, nini kitakuwa cha ajabu kwa Samia?
 
Nahisi big hana hadhi ya kuendesha hata kino tumepigwa mchana kweupe Kuna siku moja tutamkumbka mwamba flan hivi kwa vitendo si maneno
 
Kazi ya Urais kwa nchi zetu za "Afrika" si kazi ya uungwana, Rais haombi msamaha....kiufupi raia hawana mamlaka ya kuombwa msamaha na Rais wao kwa sababu hawana mamlaka ya kuamua kumpa au kumnyang'anya nafasi ya Urais!
..Maraisi wa wenzetu wanaomba msamaha.

 
Hakuna binadamu aliye mkamilifu. Rais SSH alifanya makosa kwa kutoa kauli zisizo "sahihi" ktk interview yake na Salum Kikeke wa BBC.

Hilo siyo jambo geni kumtokea kiongozi yeyote yule. Kinachofanyika ktk mazingira kama hayo ni kiongozi mwenyewe, au wasaidizi wake, kujitokeza kuomba RADHI na kurekebisha makosa yaliyojitokeza.

Nashangaa kwanini mpaka sasa hivi hakuna mtu wa IKULU aliyejitokeza kurekebisha kauli alizotoa Rais. Ukimya huu wa Rais SSH, pamoja wasaidizi wake, unaweza kuleta hisia kwamba Rais hakukosea kibidamu, bali alifanya makusudi au alidhamiria kutoa majibu yale.

Zaidi ya kuharibu taswira ya Rais na kuporomosha heshima yake, hali hiyo inatoa mwanya kwa Rais kuitwa majina mabaya yenye kumvunjia heshima.

Hivi kweli Rais SSH ameridhika na majibu aliyotoa kwa BBC? Je, wasaidizi wake wanadhani Rais ametenda sawa, na kwa kukaa kimya wanamtendea haki Rais?

Nawasihi wasaidizi wa Rais wajitokeze kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza, na kuwaomba RADHI wananchi.

cc Richard, Nguruvi3 , Pascal Mayalla
Nguvu ya MAOMBI watu wamefunga wanasali

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hakuna binadamu aliye mkamilifu. Rais SSH alifanya makosa kwa kutoa kauli zisizo "sahihi" ktk interview yake na Salum Kikeke wa BBC.

Hilo siyo jambo geni kumtokea kiongozi yeyote yule. Kinachofanyika ktk mazingira kama hayo ni kiongozi mwenyewe, au wasaidizi wake, kujitokeza kuomba RADHI na kurekebisha makosa yaliyojitokeza.

Nashangaa kwanini mpaka sasa hivi hakuna mtu wa IKULU aliyejitokeza kurekebisha kauli alizotoa Rais. Ukimya huu wa Rais SSH, pamoja wasaidizi wake, unaweza kuleta hisia kwamba Rais hakukosea kibidamu, bali alifanya makusudi au alidhamiria kutoa majibu yale.

Zaidi ya kuharibu taswira ya Rais na kuporomosha heshima yake, hali hiyo inatoa mwanya kwa Rais kuitwa majina mabaya yenye kumvunjia heshima.

Hivi kweli Rais SSH ameridhika na majibu aliyotoa kwa BBC? Je, wasaidizi wake wanadhani Rais ametenda sawa, na kwa kukaa kimya wanamtendea haki Rais?

Nawasihi wasaidizi wa Rais wajitokeze kurekebisha mapungufu yaliyojitokeza, na kuwaomba RADHI wananchi.

cc Richard, Nguruvi3 , Pascal Mayalla
Alishasema yeye ni Rais hakosei
 
Back
Top Bottom