Rais Samia hababaishwi wala kupotoshwa na wasaidizi wake, bali anajua anachokifanya kwa 100%

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
10,131
35,159
Kumekuwa na dhana ya uongo na upotoshwaji mkubwa dhidi ya utendaji wa rais wetu Mama Samia Suluhu. Kumekuwa na maneno ya mara kwa mara, tena yakurudiwa rudiwa ya kusema wasaidizi wa karibu wa mheshimiwa Rais Samia wanampotosha kwenye mipango na maamuzi ya serikali.

Hii dhana sio tu inamkosea heshima rais wetu (kwa kumuonyesha ni kiongozi dhaifu) bali imelenga kumchonganisha rais na wasaidizi wake. Hili sio jambo jema na lenye afya kwa mustakabali wa nchi yetu.

Sote tunapaswa kutambua, Rais Samia yuko pale kikatiba, na mamlaka yake yanalindwa kikatiba, chochote kile kinachoamuliwa na serikali yake kitaifa basi kiujumla ni maamuzi yake kamili kwa 100%, na ikiwa kitakuwa tofauti na matakwa yake atatangaza kukitengua ndani ya muda mchache sana ndani ya masaa kadhaa katika siku hiyo hiyo.

Ukimya wowote wa rais kwenye jambo lililoamuliwa kitaifa na serikali yake unamaanisha ndio uamuzi wake. Mfano rahisi sana ni suala la mkataba wa bandari na waarabu. Yale maamuzi yaliyopitishwa bungeni ndio takwa rasmi la rais Samia, na kama litahitaji kutiwa saini baada ya kutoka bungeni, mpaka kufikia leo litakuwa limetiwa saini na rais Samia!

Sasa kuliko kumkosea heshima rais wetu, kumkosanisha na wasaidizi wake, ni vyema kila jambo ambalo limeamuliwa na serikali yake halafu kama kuna watu ambao hawakubaliani nalo wapambane kwa hoja na rais Samia moja kwa moja kuliko kumkosanisha na wasaidizi wake.
 
giphy.gif
 
Huyu Rais ni aibu tupu kwa nchi
Anza kwanza kulaumu wote waliohusika kumuwezesha kukalia hicho kiti. Watu wa kwanza kuwalaumi ni wanaCCM, pili tumlaumu sana mwendazake, maana ametutengezea bomu na kulitega, sasa linatulipukia wote.
 
Kumekuwa na dhana ya uongo na upotoshwaji mkubwa dhidi ya utendaji wa rais wetu Mama Samia Suluhu. Kumekuwa na maneno ya mara kwa mara, tena yakurudiwa rudiwa ya kusema wasaidizi wa karibu wa mheshimiwa Rais Samia wanampotosha kwenye mipango na maamuzi ya serikali.

Hii dhana sio tu inamkosea heshima rais wetu (kwa kumuonyesha ni kiongozi dhaifu) bali imelenga kumchonganisha rais na wasaidizi wake. Hili sio jambo jema na lenye afya kwa mustakabali wa nchi yetu.

Sote tunapaswa kutambua, Rais Samia yuko pale kikatiba, na mamlaka yake yanalindwa kikatiba, chochote kile kinachoamuliwa na serikali yake kitaifa basi kiujumla ni maamuzi yake kamili kwa 100%, na ikiwa kitakuwa tofauti na matakwa yake atatangaza kukitengua ndani ya muda mchache sana ndani ya masaa kadhaa katika siku hiyo hiyo.

Ukimya wowote wa rais kwenye jambo lililoamuliwa kitaifa na serikali yake unamaanisha ndio uamuzi wake. Mfano rahisi sana ni suala la mkataba wa bandari na waarabu. Yale maamuzi yaliyopitishwa bungeni ndio takwa rasmi la rais Samia, na kama litahitaji kutiwa saini baada ya kutoka bungeni, mpaka kufikia leo litakuwa limetiwa saini na rais Samia!

Sasa kuliko kumkosea heshima rais wetu, kumkosanisha na wasaidizi wake, ni vyema kila jambo ambalo limeamuliwa na serikali yake halafu kama kuna watu ambao hawakubaliani nalo wapambane kwa hoja na rais Samia moja kwa moja kuliko kumkosanisha na wasaidizi wake.
Ili ujue uwezo wake pitia palikochorwa na aluchokisaini.
Tutaonana october 2025
 

Attachments

  • 0A22CA94-EBA0-47FE-A173-5FB4FD4CDFF3.jpeg
    0A22CA94-EBA0-47FE-A173-5FB4FD4CDFF3.jpeg
    58 KB · Views: 5
  • ADFCD852-ECEC-4ACB-9C97-33754D3A4D9B.jpeg
    ADFCD852-ECEC-4ACB-9C97-33754D3A4D9B.jpeg
    79.5 KB · Views: 5
  • 69C5F801-7C89-4265-9D18-DF1DC87C1CA7.jpeg
    69C5F801-7C89-4265-9D18-DF1DC87C1CA7.jpeg
    32 KB · Views: 5
  • BC5C3C4A-A089-416F-B661-53082BE179AA.jpeg
    BC5C3C4A-A089-416F-B661-53082BE179AA.jpeg
    55.3 KB · Views: 4
  • CCC1F5C8-1B64-48F5-A953-61BECDCD57DF.jpeg
    CCC1F5C8-1B64-48F5-A953-61BECDCD57DF.jpeg
    150.5 KB · Views: 4
  • BA198F64-DE0D-461E-BB59-482FAC85D5C6.jpeg
    BA198F64-DE0D-461E-BB59-482FAC85D5C6.jpeg
    131.1 KB · Views: 5
  • 2656D852-CB1F-4D9C-B59D-A1F0790515F7.jpeg
    2656D852-CB1F-4D9C-B59D-A1F0790515F7.jpeg
    75.7 KB · Views: 5
  • 1689F2A3-5E16-4022-A692-BAE41400F74C.jpeg
    1689F2A3-5E16-4022-A692-BAE41400F74C.jpeg
    55.1 KB · Views: 5
P
Kumekuwa na dhana ya uongo na upotoshwaji mkubwa dhidi ya utendaji wa rais wetu Mama Samia Suluhu. Kumekuwa na maneno ya mara kwa mara, tena yakurudiwa rudiwa ya kusema wasaidizi wa karibu wa mheshimiwa Rais Samia wanampotosha kwenye mipango na maamuzi ya serikali.

Hii dhana sio tu inamkosea heshima rais wetu (kwa kumuonyesha ni kiongozi dhaifu) bali imelenga kumchonganisha rais na wasaidizi wake. Hili sio jambo jema na lenye afya kwa mustakabali wa nchi yetu.

Sote tunapaswa kutambua, Rais Samia yuko pale kikatiba, na mamlaka yake yanalindwa kikatiba, chochote kile kinachoamuliwa na serikali yake kitaifa basi kiujumla ni maamuzi yake kamili kwa 100%, na ikiwa kitakuwa tofauti na matakwa yake atatangaza kukitengua ndani ya muda mchache sana ndani ya masaa kadhaa katika siku hiyo hiyo.

Ukimya wowote wa rais kwenye jambo lililoamuliwa kitaifa na serikali yake unamaanisha ndio uamuzi wake. Mfano rahisi sana ni suala la mkataba wa bandari na waarabu. Yale maamuzi yaliyopitishwa bungeni ndio takwa rasmi la rais Samia, na kama litahitaji kutiwa saini baada ya kutoka bungeni, mpaka kufikia leo litakuwa limetiwa saini na rais Samia!

Sasa kuliko kumkosea heshima rais wetu, kumkosanisha na wasaidizi wake, ni vyema kila jambo ambalo limeamuliwa na serikali yake halafu kama kuna watu ambao hawakubaliani nalo wapambane kwa hoja na rais Samia moja kwa moja kuliko kumkosanisha na wasaidizi wake.
Propaganda huuwa sheikh.
 
Kumekuwa na dhana ya uongo na upotoshwaji mkubwa dhidi ya utendaji wa rais wetu Mama Samia Suluhu. Kumekuwa na maneno ya mara kwa mara, tena yakurudiwa rudiwa ya kusema wasaidizi wa karibu wa mheshimiwa Rais Samia wanampotosha kwenye mipango na maamuzi ya serikali.

Hii dhana sio tu inamkosea heshima rais wetu (kwa kumuonyesha ni kiongozi dhaifu) bali imelenga kumchonganisha rais na wasaidizi wake. Hili sio jambo jema na lenye afya kwa mustakabali wa nchi yetu.

Sote tunapaswa kutambua, Rais Samia yuko pale kikatiba, na mamlaka yake yanalindwa kikatiba, chochote kile kinachoamuliwa na serikali yake kitaifa basi kiujumla ni maamuzi yake kamili kwa 100%, na ikiwa kitakuwa tofauti na matakwa yake atatangaza kukitengua ndani ya muda mchache sana ndani ya masaa kadhaa katika siku hiyo hiyo.

Ukimya wowote wa rais kwenye jambo lililoamuliwa kitaifa na serikali yake unamaanisha ndio uamuzi wake. Mfano rahisi sana ni suala la mkataba wa bandari na waarabu. Yale maamuzi yaliyopitishwa bungeni ndio takwa rasmi la rais Samia, na kama litahitaji kutiwa saini baada ya kutoka bungeni, mpaka kufikia leo litakuwa limetiwa saini na rais Samia!

Sasa kuliko kumkosea heshima rais wetu, kumkosanisha na wasaidizi wake, ni vyema kila jambo ambalo limeamuliwa na serikali yake halafu kama kuna watu ambao hawakubaliani nalo wapambane kwa hoja na rais Samia moja kwa moja kuliko kumkosanisha na wasaidizi wake.
Itajulikana tu, its matter of time!!
 
Kumekuwa na dhana ya uongo na upotoshwaji mkubwa dhidi ya utendaji wa rais wetu Mama Samia Suluhu. Kumekuwa na maneno ya mara kwa mara, tena yakurudiwa rudiwa ya kusema wasaidizi wa karibu wa mheshimiwa Rais Samia wanampotosha kwenye mipango na maamuzi ya serikali.

Hii dhana sio tu inamkosea heshima rais wetu (kwa kumuonyesha ni kiongozi dhaifu) bali imelenga kumchonganisha rais na wasaidizi wake. Hili sio jambo jema na lenye afya kwa mustakabali wa nchi yetu.

Sote tunapaswa kutambua, Rais Samia yuko pale kikatiba, na mamlaka yake yanalindwa kikatiba, chochote kile kinachoamuliwa na serikali yake kitaifa basi kiujumla ni maamuzi yake kamili kwa 100%, na ikiwa kitakuwa tofauti na matakwa yake atatangaza kukitengua ndani ya muda mchache sana ndani ya masaa kadhaa katika siku hiyo hiyo.

Ukimya wowote wa rais kwenye jambo lililoamuliwa kitaifa na serikali yake unamaanisha ndio uamuzi wake. Mfano rahisi sana ni suala la mkataba wa bandari na waarabu. Yale maamuzi yaliyopitishwa bungeni ndio takwa rasmi la rais Samia, na kama litahitaji kutiwa saini baada ya kutoka bungeni, mpaka kufikia leo litakuwa limetiwa saini na rais Samia!

Sasa kuliko kumkosea heshima rais wetu, kumkosanisha na wasaidizi wake, ni vyema kila jambo ambalo limeamuliwa na serikali yake halafu kama kuna watu ambao hawakubaliani nalo wapambane kwa hoja na rais Samia moja kwa moja kuliko kumkosanisha na wasaidizi wake.
Una kipaji cha ujinga!
 
Kumekuwa na dhana ya uongo na upotoshwaji mkubwa dhidi ya utendaji wa rais wetu Mama Samia Suluhu. Kumekuwa na maneno ya mara kwa mara, tena yakurudiwa rudiwa ya kusema wasaidizi wa karibu wa mheshimiwa Rais Samia wanampotosha kwenye mipango na maamuzi ya serikali.

Hii dhana sio tu inamkosea heshima rais wetu (kwa kumuonyesha ni kiongozi dhaifu) bali imelenga kumchonganisha rais na wasaidizi wake. Hili sio jambo jema na lenye afya kwa mustakabali wa nchi yetu.

Sote tunapaswa kutambua, Rais Samia yuko pale kikatiba, na mamlaka yake yanalindwa kikatiba, chochote kile kinachoamuliwa na serikali yake kitaifa basi kiujumla ni maamuzi yake kamili kwa 100%, na ikiwa kitakuwa tofauti na matakwa yake atatangaza kukitengua ndani ya muda mchache sana ndani ya masaa kadhaa katika siku hiyo hiyo.

Ukimya wowote wa rais kwenye jambo lililoamuliwa kitaifa na serikali yake unamaanisha ndio uamuzi wake. Mfano rahisi sana ni suala la mkataba wa bandari na waarabu. Yale maamuzi yaliyopitishwa bungeni ndio takwa rasmi la rais Samia, na kama litahitaji kutiwa saini baada ya kutoka bungeni, mpaka kufikia leo litakuwa limetiwa saini na rais Samia!

Sasa kuliko kumkosea heshima rais wetu, kumkosanisha na wasaidizi wake, ni vyema kila jambo ambalo limeamuliwa na serikali yake halafu kama kuna watu ambao hawakubaliani nalo wapambane kwa hoja na rais Samia moja kwa moja kuliko kumkosanisha na wasaidizi wake.
Ndani ya miezi sita atakuwa anasoma yote yanayoendelea pale TPA akiwa ikulu Dodoma au Magogoni.

Kuna kundi kubwa la wapigaji wanaowatumia wasomi wetu wengi walioamua kuuza nchi yao wenyewe wakijaribu kutetea wapigaji wa TPA, hawa mwisho wao umeshawadia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom