Ntuzu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 17,418
- 10,877
Wasabato ni genge la wahuni,wana mambo kama ya kiislam,eti elen g white ndie nabii wa mwisho kama mtume alivyo wa mwisho. Kwao mtu yeyote anaeitwa nabii baada ya white ni wa uongo, hawasomi biblia,wanasoma vitabu vya nabii white aliyewahi kusema watu weusi ni zao la shetani.
Wafuasi wa elen g white na wafuasi wa mtume wote akili yao ni moja.
Mkuu kaka km karibu sn Ktk Uzi huu!
Naona tangu December last year tukutane Ktk Uzi wako Wa Mama white mpk Leo ndo twakutana tena!
Una hoja gani Leo Mkuu!
Maana hapa hatuongei kwa maneno tu Bali na ushahidi tosha Wa maandiko!
Kwa mfano!
Mimi naweza sema sabato ni utakaso na nikakupa kifungu km hichi
Moreover I also gave them my Sabbaths to be a sign between them and me, that they might know that I am the Lord who sanctifies them. Ezekiel 20:12
Kwahiyo sabato ni dalili ya utakaso! Sasa km unaipinga utapata vipi huo utakaso?
Last edited by a moderator: