Was Jesus Black?

Was Jesus Black?

Was Jesus Black or White?


  • Total voters
    127
UNAPOONESHA PICHA UKASEMA X KUSHOTO YESU KULIA . TAYARI UNAONESHA WEWE SI MKRISTO NA HUUJUI UKRISTO. HAKUNA YESU HPO KWENYE PICHA ZAKO. NA UNAPOTEZA MUDA mwingi sana kujenga hiyo dhana. Yesu hana picha na hayo ni mambo ambayo wengi hamyaelewi. Picha unazoziona ni picha tu kama picha nyingne zozote na ndo maana humsikii mkristo akilalamika akikuta hiyo picha inakojolewa, inamwagiwa maji,inakanyagwa kanyagwa n.k sababu si YESU. YESU YUPO MOYONI na si Kwenye picha.





jesus-3.jpg


Idadi kubwa ya wakiristo na wasiyo wakristo wamedanganywa kwa kuaminishwa kuwa yesu ni white[Mzungu]
Hata michoro mingi inayotumika kumwakilisha yesu imekuwa ikimsadifu kama whiteman

Jaribu kugoogle tu neno "Jesus",99.999% ya picha utakazoletewa ni za mzungu anayefananishwa na Yesu

Hizo zote si picha za Yesu,ni picha za mtoto wa Pope Alexander wa sita aitwaye Casera borgia

Sad-fact ni kwamba,si tu Yesu alikuwa ni Black au African Hebrew

Bali characters wote wa kwenye Biblia kuanzia Adam mpaka Paul walikuwa ni Blacks

Huo ndiyo ulikuwa ukweli kabla ya miaka ya 1400
Mambo yalianza kubadilika wakati wa Renaissance period,kuanzia karne ya 14 mpaka ya 17 chini ya Pope Alexander VI

Ndipo Europeans walipoanza kumsadifu[Depict] Yesu kama Whiteman

Casera Borgia
[Casera Borgia kushoto Yesu kulia]
tumblr_lyiztg63km1qisa2ko1_500.jpg


Inaendelea page ya kwanza
 
UNAPOONESHA PICHA UKASEMA X KUSHOTO YESU KULIA . TAYARI UNAONESHA WEWE SI MKRISTO NA HUUJUI UKRISTO. HAKUNA YESU HPO KWENYE PICHA ZAKO. NA UNAPOTEZA MUDA mwingi sana kujenga hiyo dhana. Yesu hana picha na hayo ni mambo ambayo wengi hamyaelewi. Picha unazoziona ni picha tu kama picha nyingne zozote na ndo maana humsikii mkristo akilalamika akikuta hiyo picha inakojolewa, inamwagiwa maji,inakanyagwa kanyagwa n.k sababu si YESU. YESU YUPO MOYONI na si Kwenye picha.
 
UNAPOONESHA PICHA UKASEMA X KUSHOTO YESU KULIA . TAYARI UNAONESHA WEWE SI MKRISTO NA HUUJUI UKRISTO. HAKUNA YESU HPO KWENYE PICHA ZAKO. NA UNAPOTEZA MUDA mwingi sana kujenga hiyo dhana. Yesu hana picha na hayo ni mambo ambayo wengi hamyaelewi. Picha unazoziona ni picha tu kama picha nyingne zozote na ndo maana humsikii mkristo akilalamika akikuta hiyo picha inakojolewa, inamwagiwa maji,inakanyagwa kanyagwa n.k sababu si YESU. YESU YUPO MOYONI na si Kwenye picha.
Km mambo ya karne ya 9 kushuka chini yanajulikana kwa usahihi wake,iweje hili ya Jesus useme lilibadirishwa karne ya 14,
 
Mi nnaamini yote ila sisi tuna laana ya Nuhu sisi ni kizazi cha yule mtoto wa nuhu alie chungulia uchi wa baba yake akalaaniwa MWANZO; 9:20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
22 Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
23 Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.
24 Nuhu akalevuka katika ulevi wake, akajua mwana wake mdogo alivyomtendea.
25 Akasema,Na alaaniwe Kanaani;Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake.
26 Akasema,Na atukuzwe BWANA Mungu wa Shemu;Na Kanaani awe mtumwa wake.
27 Mungu akamnafisishe Yafethi.Na akae katika hema za Shemu;Na Kanaani awe mtumwa wake.
28 Na Nuhu akaishi baada ya ile gharika miaka mia tatu na hamsini.
29 Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia kenda na hamsini, akafa.
 
Kuna watu wanaumia sana wanapoambiwa ukweli hawataki kuamini kwani wanaona mambo yote waliomezeshwa tangu wakiwa watoto ni uwongo hivyo wanauogopa ukweli but we cant run away from ourselves mtake msitake africa is a mother of civilization ila muda mrefu tunalishwa matango pori hivyo wengi wanaiogopa kweli na ndo maana hawako huru

Hahaha nimejikuta nacheka
 
jamani nimeguswa na thread hii.....ata mimi nasumbuliwa sana juu ya imani hizi kwani nafsi yangu inapata shida kuamini kuhusu hizi dini pia naomba mwongozo juu ya uislamu ili nijue hatma ya imani yangu
 
Uliambiwa biblia ilishuka toka juu? Mtu yeyote mwenye mamlaka anaweza kuibadilisha tu, na akawalazimisha watu waitumie version yake, anaweza kuweka au kutoa uhusika fulani.
Wazungu wamekuwa na mamlaka makubwa hapa duniani toka zamani, mpaka sasa ndio race powerful kuliko zote, ambayo inakandamiza races nyingine! Wamethibitisha hili kwa kufanya ukoloni, na wanafanya ukoloni mambo leo mpaka leo.
Hata wakati wa ukoloni walitutesa Jumatatu mpaka Jumamosi, ila wakakupa Yesu Jumapili! We unadhani kwanini? Kwasababu walitupenda? Wakoloni walikuwa makatili hawana huruma ila kila koloni lilihakikisha watumwa wanageuzwa kuwa wakristo! Kwa jinsi navyoelewa, Dini hairuhusu ukatili wa namna ile, haya sasa niambie je dini ni dini kama tunavyoitafsiri na na kuijua leo hii, au ni programu tu ya mind control inayomfanya mtu awe mtii kwa kila analoambiwa (submission)?
Wewe kama mtu mwenye akili timamu inakuingia akili kwamba aliyekugeuza mtumwa, anakunyonya halafu anakupa dini anakutengea na muda wa kwenda kanisani? Dini ni nini kwake? Na dini ni nini kwako
Kama mtu mwenye akili timamu lazima ujue chimbuko la dini yako, kwa kufuatilia kitabu chako na vitabu vingine, sio unakuwa Mkristo /muislamu tu kisa baba ako alikuwa wa dini hiyo, dini sio kama fashion tu. Kuwa wa dini fulani baada ya kujua ukweli juu ya dini fulani. Nimejiridhisha ukristo sio dini ya kweli kwangu, na bado natafuta ukweli nijue zaidi dini ya kweli ni ipi

Sent from my HUAWEI Y330-U01 using JamiiForums mobile app
safi sana mkuu....mi pia nafsi yangu huwa inakinzana kufuata imani za dini kwakua bado cjajiridhisha na facts nazopewa kutoka kwnye dini hizi
 
Itasaidia nini leo kama Yesu atakubalika kuwa alikuwa Mweusi? (hawezi kuwa mwafrika kwa kuwa wakati wa uhai wake neno Africa halikuwepo na wala halitajwi kwenye biblia)
 
Mi nnaamini yote ila sisi tuna laana ya Nuhu sisi ni kizazi cha yule mtoto wa nuhu alie chungulia uchi wa baba yake akalaaniwa MWANZO; 9:20 Nuhu akaanza kuwa mkulima, akapanda mizabibu;
21 akanywa divai, akalewa; akawa uchi katika hema yake.
22 Hamu, baba wa Kanaani, akauona uchi wa baba yake, akawaeleza ndugu zake wawili waliokuwa nje.
23 Shemu na Yafethi wakatwaa vazi, wakalitanda mabegani mwao wote wawili, wakaenda kinyumenyume, wakaufunika uchi wa baba yao; na nyuso zao zilielekea nyuma, wala hawakuuona uchi wa baba yao.
24 Nuhu akalevuka katika ulevi wake, akajua mwana wake mdogo alivyomtendea.
25 Akasema,Na alaaniwe Kanaani;Atakuwa mtumwa kabisa kwa ndugu zake.
26 Akasema,Na atukuzwe BWANA Mungu wa Shemu;Na Kanaani awe mtumwa wake.
27 Mungu akamnafisishe Yafethi.Na akae katika hema za Shemu;Na Kanaani awe mtumwa wake.
28 Na Nuhu akaishi baada ya ile gharika miaka mia tatu na hamsini.
29 Siku zote za Nuhu zilikuwa miaka mia kenda na hamsini, akafa.

Ndugu yangu kwanza nafurahi kuwa nawe ni mtafuta maarifa na mdadisi wa mambo japo kwa uwazi umeonyesha udhaifu wa kukubali kiurahisi.

Masimulizi ya kitabu cha mwanzo hasa hadithi ya NUHU NA WANAWE IMEBADILISHWA KWA MALENGO MAALUMU ILI MTU MWEUSI AJIKUBALI KAMA NI DHAIFU NA KAUMBWA KUWA MTUMWA.

HAM HAKUONA UCHI WALA HAKUMWINGILIA BABA YAKE KINYUME NA MAUMBILE MAANA WENGINE NAO HUO WANAELEZA WATU HIVYO KWA TAFASIRI YA NENO LENYEWE.

UKWELI WA HADITHI HIO UTAIPATA KWENYE KITABU KINAITWA JASHER SURA YA 7 MSTARI WA 23 MPAKA 35.

NI KWAMBA HAM ALIIBA NGUO AMBAYO MUNGU ALIMTENGENEZEA ADAM NA HAWA PALE BUSTANINI. ILE NGUO ILIKUWA NA MAAJABU NA ALIEKIKABIDHIWA ALIKUWA LAZIMA AWE MTAWALA WA MWENZAKE.

KWAHIO HIZO NGUO WALIRITHISHANA HADI NUHU ALIPOPEWA NA BABA YAKE METHUSELAH. KWAVILE NUHU ALIONYESHA MAHABA KWA SHEM, NA NDIE ALIEKUWA ANATAKA KUMPATIA URITHI WA ZILE NGUO. HAM KWA KUJUA HILO AKAAMUA KUIBA ZILE NGUO NA KUZIFICHA.

HIVYO, HAM AKAMPATIA MWANAE KUSH NA KUSH AKAMPATIA MWANAE NIMROD THE MIGHTY.

KUMBUKA NIMROD NDIE MFALME WA KWANZA KUTAWALA MESAPOTOMIA (THE LAND BETWEEN THE TWO RIVERS.) NA NDIE ALIEPELEKA USTAARABU KTK ENEO HILO LA IRAQ NA IRAN YA LEO KWA ENZI HIZO.

HIVYO HIMAYA ZA MWANZO NI ZA WATU WEUSI TUPU. HIVYO STORI IMEGEUZWA ILI KUWAFANYA WEUSI KUWA NI KIZAZI KILICHOLAANIWA. KIMELAANIWA NA NANI?
 
Ndugu yangu kwanza nafurahi kuwa nawe ni mtafuta maarifa na mdadisi wa mambo japo kwa uwazi umeonyesha udhaifu wa kukubali kiurahisi.

Masimulizi ya kitabu cha mwanzo hasa hadithi ya NUHU NA WANAWE IMEBADILISHWA KWA MALENGO MAALUMU ILI MTU MWEUSI AJIKUBALI KAMA NI DHAIFU NA KAUMBWA KUWA MTUMWA.

HAM HAKUONA UCHI WALA HAKUMWINGILIA BABA YAKE KINYUME NA MAUMBILE MAANA WENGINE NAO HUO WANAELEZA WATU HIVYO KWA TAFASIRI YA NENO LENYEWE.

UKWELI WA HADITHI HIO UTAIPATA KWENYE KITABU KINAITWA JASHER SURA YA 7 MSTARI WA 23 MPAKA 35.

NI KWAMBA HAM ALIIBA NGUO AMBAYO MUNGU ALIMTENGENEZEA ADAM NA HAWA PALE BUSTANINI. ILE NGUO ILIKUWA NA MAAJABU NA ALIEKIKABIDHIWA ALIKUWA LAZIMA AWE MTAWALA WA MWENZAKE.

KWAHIO HIZO NGUO WALIRITHISHANA HADI NUHU ALIPOPEWA NA BABA YAKE METHUSELAH. KWAVILE NUHU ALIONYESHA MAHABA KWA SHEM, NA NDIE ALIEKUWA ANATAKA KUMPATIA URITHI WA ZILE NGUO. HAM KWA KUJUA HILO AKAAMUA KUIBA ZILE NGUO NA KUZIFICHA.

HIVYO, HAM AKAMPATIA MWANAE KUSH NA KUSH AKAMPATIA MWANAE NIMROD THE MIGHTY.

KUMBUKA NIMROD NDIE MFALME WA KWANZA KUTAWALA MESAPOTOMIA (THE LAND BETWEEN THE TWO RIVERS.) NA NDIE ALIEPELEKA USTAARABU KTK ENEO HILO LA IRAQ NA IRAN YA LEO KWA ENZI HIZO.

HIVYO HIMAYA ZA MWANZO NI ZA WATU WEUSI TUPU. HIVYO STORI IMEGEUZWA ILI KUWAFANYA WEUSI KUWA NI KIZAZI KILICHOLAANIWA. KIMELAANIWA NA NANI?
Kuhusu biblia ime cover eneo kubwa la mashariki ya kati hususani eagypt na baadhi ya vi nchi vya europe,Kaka kwa sasa ngoja nisome vitabu nije na topic kuhusu ukweli wa hili jambo.THANX
 
Itasaidia nini leo kama Yesu atakubalika kuwa alikuwa Mweusi? (hawezi kuwa mwafrika kwa kuwa wakati wa uhai wake neno Africa halikuwepo na wala halitajwi kwenye biblia)
Huu uzi una kamkusanyiko ka akina Sakabona!! Hawa jamaa wananivunja mbavu kweli kwa historia yao. Wanadai eti wao wameumiza akili kuutafyta ukweli sasa sijui wao ufumbuzi huo wameufanyia wapi hadi wanashambulia wenzao.
Wameshindwa kufikia malengo wakaona kuliko kukosa kabisa ni heri wajichongee historia yao. Tunajua historia inachangamoto na ukakasi mwigi, lakini si kwa kiwango cha madai ya hao jamaa, wao wameamua kubuni mpya kabisa.
These people are mea, just take them as a joke uta enjoy sana.
 
Huu uzi una kamkusanyiko ka akina Sakabona!! Hawa jamaa wananivunja mbavu kweli kwa historia yao. Wanadai eti wao wameumiza akili kuutafyta ukweli sasa sijui wao ufumbuzi huo wameufanyia wapi hadi wanashambulia wenzao.
Wameshindwa kufikia malengo wakaona kuliko kukosa kabisa ni heri wajichongee historia yao. Tunajua historia inachangamoto na ukakasi mwigi, lakini si kwa kiwango cha madai ya hao jamaa, wao wameamua kubuni mpya kabisa.
These people are mea, just take them as a joke uta enjoy sana.

TAIFA LA WAJINGA HUWA HALINA UKUAJI. FAMILIA YA WAPUMBAVU HUWA WAKUNUNG'UNIKANA HUFA KWA NJAA. MTU MJINGA ANATABIA YA KUMTAFUTA MJINGA MWENZIE ILI WALIWAZANE. MZAZI DHAIFU HUWA NA WATOTO VILAZA.

KIJANA DHAIFU HUWA NI MZIGO KWA WALEZI WAKE. MTU MWENYE MAARIFA DUNI HUWA MNYONGE NA MWENYE UMBEAUMBEA.

AJIFANYAE ANAJUA WAKATI HAJUI NI MWENYE DHIHAKA NA ASIE AMINIKA. MTU MNYONGE WA UFAHAMU HUJILINDA CHINI YA UJINGA WAKE.

MAARIFA YANATAFUTWA NA HAYAJITAFUTI. UKWELI UTAJIDHIHIRISHA SIKU MOJA KABLA HUJAFAA.
 
MI naamini Yesu alikua na rangi kama za waarabu wa mashariki ya kati,si kazaliwa na kukulia around Jerusalem ambayo ipo mpaka leo,Jerusalem wanaishi weusi kama sisi?
 
Japo post ni ya muda, sina uhakika na comments zote humu, ila ikumbukwe baada ya elimu ya magharibi, tulifungwa mnyororo wa kuaminishwa kuwa kila kikichotoka magharibi ndio ukweli, na ukweli mtupu. Haishangazi kwahiyo kuwa Yesu ... na qengine katika biblia hadi kwa Paulo walikuwa weusi.
Hata katika maisha ya kila siku, tuna/kuna baadhibwanaamini dawa "pekee" ya kuponyesha maradhi yetu ni ya kuzungu, hizo nyingine hata ziwe nzuri kiasi gani, ni ushenzi. einstein newton
 
Kwa watu waliogundua hii kitu ndio walitaka Africa Tuungane as one Nation tungekuwa na Power no one has ever seen but while sneaky people will not let this happen ndio maana wanafanya kila hila kuzuia
Rahisi sana kudanganya binadamu kuliko kumshawaishi kuwa amedanganywa.
 
Mmmmmmhhh...mbona waafrika tunaonekana ni dhaifu katika vitu vingi...hata kucheza mpira tu tunababaisha, hatujawahi kuchukua kombe la dunia...kwenye athletics ni hivyo hivyo labda mbio fupi...
Wakenya, Wahabeshi na Wanaigeria je?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom