mnepha
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 300
- 280
Nilikua nimejipanga kukujibu kwa hoja, lakini kwa hili hapa nilipo Red, nimeshaulewa ufahamu wako ulipo na jinsi mnavyoyachukulia maandiko, hivyo sitajisumbua. Nakuacha uendelee kupiga soga lakini acha nikupe pole tu.
Nafahamu huna hoja yenye mashiko kwa waalimu waliokuzidi maarifa ndio maana unaamua kukejeri baada ya kuadmit kwamba unaanza kupata ukweli ambao ulikuwa haufahamu.
Pili hatuna lengo la kushindana humu tunaelimishana na kupashana maarifa na ufahamu. Hivyo usipotoshe maada ki ujanja ujanja huku umepewa ushuhuda wa kitabu unachokiamini: Mbona hio Chapter ya 10 na Verse ya 33-35 ya kitabu cha Matendo ya Mitime hujacopy pia?
JAMANI TUNAWEZA KUPOTOSHWA NA NYIMBO MZURI TULIZOZISIKIA NA MAHUBIRI DHAIFU NA YA UWONGO TULIOYASIKIA TANGU TUKIWA WADOGO HADI TUNAZEEKA. LAKINI SI MAANA YAKE KUWA NI YA KWELI.
TUTAFUTE UKWELI ILI UTUWEKE HURU.