Was Jesus Black?

Was Jesus Black?

Was Jesus Black or White?


  • Total voters
    127
Types of black people in the world. Note that Outside of Africa, India has the largest Black population:
San woman, Southern Africa
San.jpg


Indian Man, India
india50.jpg


Australian native with blonde hair
Blonde_7.jpg


Papua New Guinea
Blonde_8.jpg


Blue eyed kids
Blue_eyes_8.jpg

Blue_eyes_6.jpg


Native Mexicans
afroamexicanos_2_2015_07_05.jpg
 
Nakubaliana nawe kwa asilimia zote hili la Mzungu.

Isipokuwa tufahamu kuwa hakufa kwenye Msalaba. Walimnyonga kwenye Mti. Dunia imehadaika na ubunifu wa warumi na wagiriki.

Ushahidi: Soma Kitabu cha Matendo ya Mitume 10: 34-35


IMG_20160525_172723_756.jpg
 
hoja nyepesi sana hizi, unamtrace yesu kwa kutumia maandiko ya Mungu ambayo wewe humuamini.
Kama yesu alikuwa mweusi basi na waarabu ni weusi
Hawa jamaa wamenishangaza kwa kweli..yaani walichofanya ni kupindua mambo na kutoka kivyao. Halafu wamekuja na hayo mapichapicha yao ambayo hayapo popotw pale.
Kila kitu wanakiweka watakavyo halafu wanashinikiza wengine waamini hivyo.
 
That's due to a global system of white supremacy, a black woman is really a mature of creation..
We really need to wake up, or this white supremacist system will always suppress our race.
Black people have been programmed to feel and inferior to white people. While the truth is we are the superior race, and the most resilient

You are right...black is the superior race...the giant will rise up one day...
 
Alikuwa black or white so what?ni upumbavu tu kukaa kujadili hilo maana halibadili anything. Nami sijawah ona picha ya yesu wewe umewah ona wapi? Watu hawaangalii rangi na by the way hata wayahudi si wazungu so haiwasaidii hata kusema alikuwa mweupe. Huku huku africa pia wapo weupe sioni issue ya msing hapo. Haya tuseme alikuwa mweusi. So what? Simple mind discuss simple things. Mi hata wakiniambia alikuwa wa blue wala sitak kubishana nao.it doesnt help me at all. Nafata mafundisho yake tu. Waafrika weng wamejawa na inferiority complex so wanatafuta hata vitu ambavyo havina maana waseme ni vyao. So what?

Mmmmmmmmmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhh....interesting comments from a dejected black man
 
Mmmmmmhhh...mbona waafrika tunaonekana ni dhaifu katika vitu vingi...hata kucheza mpira tu tunababaisha, hatujawahi kuchukua kombe la dunia...kwenye
athletics ni hivyo hivyo labda mbio fupi...

bro mfalme wa mpira duniani ni black pure unajua hilo
 
Ndg yangu uko sahihi na usichoke kutafuta ukweli na maarifa. Maana yamefichwa sana kwa malengo maalumu.

Elimu ya darasani ni dhaifu sana, elimu ya kidini imejaa udhaifu, uwongo na ni vyombo vya kujenga hofu na ujinga wa kutafuta ukweli.

Ukweli ni kwamba kuna sisi ndio waebrania, sisi ndio waana wa israel, sisi ndio kizazi cha mafarao, ndio wakanaani, ndio wanubia na wakushi. Sisi pia ni Moors na Berbers. Sisi ndio viumbe vyenye akili, nguvu na ndio the chosen people of the ELOHIM.
SISI NDIO AKINA IMHOTEP, DJOSER, NARMER, NIMROD.

WE ARE STARTING OUR WAY BACK TO ENCHANEL THE POTENTIALITIES OF OUR CAPABILITY ON EVERY ASPECTS OF LIFE SO AS TO TAKE BACK THE WORLD SPIRITUAL LEADERSHIP AND POLITICAL POWER AND CONTROL.

ENDELEA KUFANYA TAFITI UTAFAHAMU TU.

BLACK POWER
Kwa watu waliogundua hii kitu ndio walitaka Africa Tuungane as one Nation tungekuwa na Power no one has ever seen but while sneaky people will not let this happen ndio maana wanafanya kila hila kuzuia
 
Alikuwa black or white so what?ni upumbavu tu kukaa kujadili hilo maana halibadili anything. Nami sijawah ona picha ya yesu wewe umewah ona wapi? Watu hawaangalii rangi na by the way hata wayahudi si wazungu so haiwasaidii hata kusema alikuwa mweupe. Huku huku africa pia wapo weupe sioni issue ya msing hapo. Haya tuseme alikuwa mweusi. So what? Simple mind discuss simple things. Mi hata wakiniambia alikuwa wa blue wala sitak kubishana nao.it doesnt help me at all. Nafata mafundisho yake tu. Waafrika weng wamejawa na inferiority complex so wanatafuta hata vitu ambavyo havina maana waseme ni vyao. So what?
 
Nadhani swala la msingi hapo sio rangi kama unavyosema, ila najaribu kujiuliza swali moja tu, kama wameweza kubadikisha rangi kutoka kwenye weusi na kufanya aonekane mzungu, je unadhani hayo mafundisho yake hawakuyabadilisha na kuyaweka vike wanavyotaka wao?
 
Nadhani swala la msingi hapo sio rangi kama unavyosema, ila najaribu kujiuliza swali moja tu, kama wameweza kubadikisha rangi kutoka kwenye weusi na kufanya aonekane mzungu, je unadhani hayo mafundisho yake hawakuyabadilisha na kuyaweka vike wanavyotaka wao?
Waliyabadilisha kuwadhulimu watu weusi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom