Mallaba
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 2,554
- 47
Lini itakuwa ni priority?
Kwa sasa tunaelekea mchakato wa kuwa na katiba mpya, je hiyo katiba itakuwaje?
hilo ni lazima lifikiwe maelewano mazuri.
Kuna swala la EAF nalo linahitaji intergration ya hizo nchi, sasa kama Zanzibar na Tanzania tu kwa sasa migogoro na makelele ni mengi tu sembuse na hilo shirikisho, si itakuwa ni kichekesho tu??
Kutakuwa na tatizo kati ya zanzibar na Muungano kama ilivyyozoeleka na kutakuwa na Tatizo kati ya Zanzibar na hiyo federation pia kutakuwa na tatizo kati ya Muungano na hilo federation..hapo patakalika kweli???
Kwa sasa tunaelekea mchakato wa kuwa na katiba mpya, je hiyo katiba itakuwaje?
hilo ni lazima lifikiwe maelewano mazuri.
Kuna swala la EAF nalo linahitaji intergration ya hizo nchi, sasa kama Zanzibar na Tanzania tu kwa sasa migogoro na makelele ni mengi tu sembuse na hilo shirikisho, si itakuwa ni kichekesho tu??
Kutakuwa na tatizo kati ya zanzibar na Muungano kama ilivyyozoeleka na kutakuwa na Tatizo kati ya Zanzibar na hiyo federation pia kutakuwa na tatizo kati ya Muungano na hilo federation..hapo patakalika kweli???
Yes he has balls, however utanganganyika sio priority kwa sasa, ANGESEMA JK nchi imemshinda ajiuzulu angekuwa amesema la maana zaidi, au angehamasisha watu kuandamana, ilikuwa bora pia....