Warioba: Mimi na Salim urais basi

Warioba: Mimi na Salim urais basi

Kwa bahati mbaya umri utakuwa umemtupa sana mkono, lakini pamoja na hayo, bado kuna fursa kwetu sote ya kumwomba atusaidie katika kutueleza ni viongozi gani wanafaa ili kwa pamoja tusaidiane kuirudisha our derailed country back on track;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ana hela za kutosha kufanyia mambo yale ya uchaguzi? Yaani kumpita Lowassa?
 
Kwa bahati mbaya umri utakuwa umemtupa sana mkono, lakini pamoja na hayo, bado kuna fursa kwetu sote ya kumwomba atusaidie katika kutueleza ni viongozi gani wanafaa ili kwa pamoja tusaidiane kuirudisha our derailed country back on track;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Umri ni namba; Raisi Reagan wa Marekani aliingia madarakani akiwa na umri mkubwa kuliko umri wa Nyerere alipostaafu.
 
Tafadhali mheshimu Warioba kwa kutokumfananisha na akina Dr Slaa,Huku ni kumshushia heshima Warioba.We baki na mapanzi yako kwa hao watu wawili.Kifupi tu Warioba ni mzalendo wa kweli anayelipenda Taifa lake na watu wake.Huishi katika kile anachokiamini sio kama hao wengine ambao husema jambo moja na kutenda jingine.Wanajifanya wanatupenda walala hoi huku wakikwapua fedha za Chama kwa maslahi yao binafsi.Warioba hayuko hivyo kabisa.Ninakubaliana kuhusu Warioba ila kumfananisha na Wanasiasa wawili wenye roho mbaya,chuki na tamaa ya kujitajirisha wenyewe tu hapo sitakubaliana na wewe.
 
Mimi nafikiri wewe Teknolojia umejikita zaidi katika hisia zaidi kuliko uhalisia. Mtu kufananishwa na mtu mwingne ni jambo la kawaida na binafsi sioni tatzo lolote. Na kama hukubaliani na mtoa hoja ni vizuri pia na wewe kutoa hoja mbadala, sababu na ushahidi ili kutetea madai yako. Kwa mfano, unaposema hao wawili wanakwapua fedha za chama chao kwa maslahi binafsi, je una ushahidi wa kuthbitisha hilo au madai yako umeyajenga zaidi kwenye hisia na chuki binafsi dhidi ya hao viongozi? Mimi nafkri kwenye siasa huwezi kumpenda kila mwanasiasa. Lakini si vizuri hata kama humpendi mwanasiasa fulani kumzushia habari ambazo ni za hisia zaidi kuliko uhalisia. Kama hujafanya utafiti juu ya madai yako, ni dhahiri tu una chuki tu binafsi dhidi ya viongozi hao. Mimi natamani Watanzania hata kama tunatofautiana kimitazamo, kiitikadi na kisiasa tusifike hatua ya kutumia tofauti hizo kwa ajili ya kubomoa bali tuzitumie kujenga.
 
Tafadhali mheshimu Warioba kwa kutokumfananisha na akina Dr Slaa,Huku ni kumshushia heshima Warioba.We baki na mapanzi yako kwa hao watu wawili.Kifupi tu Warioba ni mzalendo wa kweli anayelipenda Taifa lake na watu wake.Huishi katika kile anachokiamini sio kama hao wengine ambao husema jambo moja na kutenda jingine.Wanajifanya wanatupenda walala hoi huku wakikwapua fedha za Chama kwa maslahi yao binafsi.Warioba hayuko hivyo kabisa.Ninakubaliana kuhusu Warioba ila kumfananisha na Wanasiasa wawili wenye roho mbaya,chuki na tamaa ya kujitajirisha wenyewe tu hapo sitakubaliana na wewe.

TEKNOLOJIA Machoni nakuona Kama Mtu....
 
Last edited by a moderator:
Mimi nafikiri wewe Teknolojia umejikita zaidi katika hisia zaidi kuliko uhalisia. Mtu kufananishwa na mtu mwingne ni jambo la kawaida na binafsi sioni tatzo lolote. Na kama hukubaliani na mtoa hoja ni vizuri pia na wewe kutoa hoja mbadala, sababu na ushahidi ili kutetea madai yako. Kwa mfano, unaposema hao wawili wanakwapua fedha za chama chao kwa maslahi binafsi, je una ushahidi wa kuthbitisha hilo au madai yako umeyajenga zaidi kwenye hisia na chuki binafsi dhidi ya hao viongozi? Mimi nafkri kwenye siasa huwezi kumpenda kila mwanasiasa. Lakini si vizuri hata kama humpendi mwanasiasa fulani kumzushia habari ambazo ni za hisia zaidi kuliko uhalisia. Kama hujafanya utafiti juu ya madai yako, ni dhahiri tu una chuki tu binafsi dhidi ya viongozi hao. Mimi natamani Watanzania hata kama tunatofautiana kimitazamo, kiitikadi na kisiasa tusifike hatua ya kutumia tofauti hizo kwa ajili ya kubomoa bali tuzitumie kujenga.

Pesambili Umetisha sana Mkuu
 
Last edited by a moderator:
Historia inaonesha Warioba amejituma sana kufanya kazi kwa ajili ya taifa hili. Mosi kamati ya raisi aliyoiongoza mwanzoni mwa utawala wa Mkapa kuhusiana na rushwa ilikuwa nzuri sana. Hata hivyo kazi yake ilitupiliwa mbali na hakuna jambo la maana lilifanyiwa kazi. Pia kazi aliyoifanya kwenye kamati ya katiba imetukuka. Amefanya kazi kwa uaminifu na ametoa na kutoa suluhisho litakaloiletea Tanganyika na Tanzania kwa ujumla ustawi mwema. Hata hivyo kazi yake inaonekana kudharauliwa. Hii inanisukuma nione kwamba kuna haja huyu mzee kuwa raisi wa nchi hii ili aweke misingi imara ya nchi yetu.
 
Alishindwa kwa kutokuchaguliwa ama kiutendaji? Warioba ni jembe
 
Alivuliwa Ubunge na Mahakama kwa Kosa la Rushwa Kesi ilifunguliwa na Wassira, Warioba akiwa Mbunge wa Bunda
 
Warioba naweza kusema kwa rasimu ile alikuwa anaweka misingi mikuu sana ya umoja kwa taifa la Tanzania.
 
Back
Top Bottom