Warioba: Mimi na Salim urais basi

Warioba: Mimi na Salim urais basi

Alivuliwa Ubunge na Mahakama kwa Kosa la Rushwa Kesi ilifunguliwa na Wassira, Warioba akiwa Mbunge wa Bunda


Usikurupuke ndugu!
Fanya utafiti wa kutosha halafu urudi umsafishe warioba!
Kwa nini linapokuja suala la urais mnasingizia watu makosa ambayo hawakufanya?
 
lowasa rais 2015.jpg
 
kwani alitaka kuvunja muungano au alitaka kuuboresha mm sijaelewa hapo ndugu.
Hana influence yeyote kwa jamii ya watanzania wanaopenda umoja na amani. Hili la kutaka kuvunja muungano limemshushia heshima sana.
 
Hata yeye mwenyewe anajua hawezi urais labda kazi za kutumwatumwa kama hiyo ya uwenyekiti wa kamati ya katiba
 
Back
Top Bottom