Chakaza
Platinum Member
- Mar 10, 2007
- 41,017
- 74,671
alifanya kipi cha kukumbukwa wkt alipokuwa prime minister na makamu wa rais.kama alishindwa wkt ule ataweza leo
Historia inaonesha Warioba amejituma sana kufanya kazi kwa ajili ya taifa hili. Mosi kamati ya raisi aliyoiongoza mwanzoni mwa utawala wa Mkapa kuhusiana na rushwa ilikuwa nzuri sana. Hata hivyo kazi yake ilitupiliwa mbali na hakuna jambo la maana lilifanyiwa kazi. Pia kazi aliyoifanya kwenye kamati ya katiba imetukuka. Amefanya kazi kwa uaminifu na ametoa na kutoa suluhisho litakaloiletea Tanganyika na Tanzania kwa ujumla ustawi mwema. Hata hivyo kazi yake inaonekana kudharauliwa. Hii inanisukuma nione kwamba kuna haja huyu mzee kuwa raisi wa nchi hii ili aweke misingi imara ya nchi yetu.
Kasome hotuba yake.
Tatizo wakati ule alikuwa ndani ya chama kisichopenda haki ila kama angekuwa nje ya ccm angefanya makubwa na pengine kulio ata Mandela.
warioba anafaa kuwa mkuu wa nchi,akigombea kura yangu anayo bila shaka.
Naungana nawe 100% maana anazo values zote alizojenga baba was taifa na pia anajali sana mawazo na matakwa ya umma wa taifa hili la Tanganyika mpya! Tutamsimamia kama mkombozi mpya wa nchi ya ahadi iliyokuwa imepotea.Historia inaonesha Warioba amejituma sana kufanya kazi kwa ajili ya taifa hili. Mosi kamati ya raisi aliyoiongoza mwanzoni mwa utawala wa Mkapa kuhusiana na rushwa ilikuwa nzuri sana. Hata hivyo kazi yake ilitupiliwa mbali na hakuna jambo la maana lilifanyiwa kazi. Pia kazi aliyoifanya kwenye kamati ya katiba imetukuka. Amefanya kazi kwa uaminifu na ametoa na kutoa suluhisho litakaloiletea Tanganyika na Tanzania kwa ujumla ustawi mwema. Hata hivyo kazi yake inaonekana kudharauliwa. Hii inanisukuma nione kwamba kuna haja huyu mzee kuwa raisi wa nchi hii ili aweke misingi imara ya nchi yetu.
Naungana nawe 100% maana anazo values zote alizojenga baba was taifa na pia anajali sana mawazo na matakwa ya umma wa taifa hili la Tanganyika mpya! Tutamsimamia kama mkombozi mpya wa nchi ya ahadi iliyokuwa imepotea.Historia inaonesha Warioba amejituma sana kufanya kazi kwa ajili ya taifa hili. Mosi kamati ya raisi aliyoiongoza mwanzoni mwa utawala wa Mkapa kuhusiana na rushwa ilikuwa nzuri sana. Hata hivyo kazi yake ilitupiliwa mbali na hakuna jambo la maana lilifanyiwa kazi. Pia kazi aliyoifanya kwenye kamati ya katiba imetukuka. Amefanya kazi kwa uaminifu na ametoa na kutoa suluhisho litakaloiletea Tanganyika na Tanzania kwa ujumla ustawi mwema. Hata hivyo kazi yake inaonekana kudharauliwa. Hii inanisukuma nione kwamba kuna haja huyu mzee kuwa raisi wa nchi hii ili aweke misingi imara ya nchi yetu.
Magamba hawawezi kumpa nafasi maana amesaliti chama na kukumbatia utaifa zaidi.
Mwenye influence nadhani atakuwa huyu hapa kwa tathimini ya akili zako
View attachment 147145
Sent from my iPad using JamiiForums
Usikurupuke ndugu!
Fanya utafiti wa kutosha halafu urudi umsafishe warioba!
Kwa nini linapokuja suala la urais mnasingizia watu makosa ambayo hawakufanya?