Warembo wa Wiki..

Warembo wa Wiki..


15.JPG

From Left ni Barbara Amina Hassan wa Clouds FM and her friend...
Tutumu tutumu mwe!
 
nimeacha aisee
nilianza ku feel out of place..
ukishafikisha 30..concerts za bongo fleva
zinaanza kukuboa...
.
unakuta watoto wa shule wengi....
siku hizi mimi ni mduara tu.....na dansi..

Tupo pamoja!
 
hiyo louis vuiton ya kutoka china
zipo kariakoo kibao.mpaka viatu vyake.....

siku moja nilienda diamond jubilee kulikuwa na concerts ya bongo fleva....
nilijuta.....
karibu ukumbi wote wamejaa watu kutoka mikoani..
utasema nilikuwa nje ya dar....
siendi tena now.
siku hizi watu wanatoka vijijini wanajua kuvaa vi top na tight jeans kabisa...
unakutana nao mjini wanakuuliza muhimbili ipo wapi unashangaa

Teh teh teh teh teh teh teh teh ........................kwisha habari yako!:becky::becky::becky::becky::becky:

Unaweza tamani uvue designer package yako !
 
Oooooh wanatudhalilisha, hii nini sasa kama hamjidhalilishi wenyewe?
 
lady bwana ucnichekeshe mie, yaani hakuna kitu nachukia kama machupi ya rangi rangi.
Nyamayao sikujua kama kuna watu bado wanavaa machupi ya rangi hiyo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
9.JPG

Duh....hivi vinguo vingine dada zetu muwe makini,maanake hata ukicheka tu mambo yaweza kuwa hadharani.

du uyuy wa kati mwanangu atanletea matatizo icho kinguo na uwo ubluu apo kati mpaka udendaaaaaaahh
 
Hivi ni kwa nini waitwe warembo?Urembo wao upo katika nini hasa?Kukaa uchi?Au..........nadhani jina warembo linaweza kuhamasisha tabia hii iendelee. Je wale wanaovaa nguo za heshima wakajipamba na wakapendeza tuwaitaje?
 
Back
Top Bottom