Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,748
Mkuu ulimaanisha ipi hapo?Ahahahahaaa....kweli aisee. Siku hizi sio kama zamani.
Last week nimekutana na demu kabeba purse/ bag ya Louie Vuitton halafu anashuka kwenye daladala iliyokuwa inatokea Kiwalani....sasa nikajiuliza...hmm hivi hiyo Louie ni authentic au bootleg.....nikashawishika kuwa ni bootleg kwa sababu huwezi kumudu kununua Louie authentic halafu upande daladala
vitu vya louis vuiton
au hii? -------