JUST
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 552
- 234
Kama kweli ulikuwa na nia ya dhati haya mambo ungeyapeleka makao makuu ya cdm sababu yanawahusu wao, hapa JF ni mambo ya kitaifa ndio mazuri kuyaleta kwa majadiliano ili inapotokea mtendaji wa serikali amepitia hapa apate mawazo. mimi naona kama unataka kuonyesha kwa kificho kuwa CDM ina matatizo makubwa ya kiutawala na kiutendaji ambayo watu hawafahamu kitu ambacho si dhani kama utapata majibu mazuri sana kwa sababu wananchi wa leo sio wajana na wana akili kuzidi wanaojiita wasomi na tofauti yao ni vyeti tu na nadharia walizozikariri kwa lugha ya kigeni.