Kuna mengi nakubaliana na waraka huu ila hili la kuangalia na kumlazimisha kuwa mtanzania huyu ni wa dini hii au ile hilo lina utata.
Kugawana keki ya taifa n.k kungetumia kikokotoo cha kanda maana kutumia imani bado imani fulani itazidiwa wingi na kuleta mgawanyiko ktk taifa, jamii na familia ila kuangazia kanda inafuta mgawanyiko kwa kufuata imani.
Kugawana keki ya taifa n.k kungetumia kikokotoo cha kanda maana kutumia imani bado imani fulani itazidiwa wingi na kuleta mgawanyiko ktk taifa, jamii na familia ila kuangazia kanda inafuta mgawanyiko kwa kufuata imani.