Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,030
- 103,435
Tume huru inapaswa ianze kushughurikiwa baada tu uchaguzi kuisha, Kwa muda huu utekerezaji wake hauwezekani!!
Tume huru ilikuwa ndani ya katiba mpya ambayo rais alikataa ili apate nafasi ya kunajisi chaguzi zetu. Madai halali hayana muda. Bora uundwe serikali ya mpito tukisubiri tume huru ya uchaguzi. Inatakiwa itokee na dini nyingine itoe tamko la tume huru ya uchaguzi, tumechoka na chaguzi za kishenzi.