OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,238
- 103,913
Namuona Mohamed Said katikati ya mistari ya huu waraka
NdioWewe ni muislam wa Tanzania?
Km sivyo...
Unatapikaje maneno ya kuambiwa kuhusu taasisi ya kiimani ISIYOKUHUSU?!!
Haaa! wewe jamaa bwana"eti watukufu waislam".Mungu wabariki Watukufu Waislam
Karibu sanahaaa wewe jamaa bwana,eti watukufu waislam.
Nikaribie wapi?Karibu sana
Unaongelea hiyo Bakwata, ambayo ni "branch" ya chama tawala cha CCMWaeanza kujitambua itakuwa sio bakwata.
msikitiniNikaribie wapi?
Sawa ngoja nivae kanzu.ila mambo ya albadiri sitaki.msikitini
Wale maBakwata ni koloni la maccmEeh waislamu wa bakwata au wale wengine?
Safi sana. Wale wanakondoo nao watoe waraka siyo waone kijana wao wa kanisani yupo madhabauni wajifanye hawaoni jinsi haki za raia zinavyominywa.
Muislam Brown....utakuwa muislam wa kianglicana wewe siyo bureHao hawatusemei waislamu wote.....hao Wala hawatambuliki KISHERIA kutusemea.
Muislam Mimi SIYATAKI HAYO WAYASEMAYO. Muislam mimi na wenzangu tulio wengi tunataka kuiona tume HIIHII iendelee kwani iko KISHERIA na haina dosari zozote.
Waislam tunasemewa na BARAZA letu kuu BAKWATA.
WENGINE WANAKUWAGA WALE WACHOCHEZI WACHACHE.
Lugha ya kikoloniHao hawatusemei waislamu wote.....hao Wala hawatambuliki KISHERIA kutusemea.
Muislam Mimi SIYATAKI HAYO WAYASEMAYO.
Muislam mimi na wenzangu tulio wengi tunataka kuiona tume HIIHII iendelee kwani iko KISHERIA na haina dosari zozote.......
Waislam tunasemewa na BARAZA letu kuu BAKWATA.
WENGINE WANAKUWAGA WALE WACHOCHEZI WACHACHE.
Kweli mkuu wale wa Bakwata walikua wanataka hela zake tu.Kuna wengine 2015 walienda kwa lowasa kumbe walikuwa matapeli tu, walitaka pesa zake tu.
Safi mashekhe tupigane jihadi mpaka kieleweke.
Wewe ni muislam wa Tanzania?
Kama sivyo.
Unatapikaje maneno ya kuambiwa kuhusu taasisi ya kiimani ISIYOKUHUSU?!!