Waraka wa TEC: TV IMAAN hawakujipanga!

Waraka wa TEC: TV IMAAN hawakujipanga!

Umeusikiliza? Unao hapo kama hauna nakuwekea hapa kwakuwa sikuandika kwa kukurupuka


View: https://youtu.be/cTmfQqT1jGY

Mwanzo siku usoma huu Waraka, sababu Mimi si mtu wa siasa na sifatilii. Ila nilipo ona kelele zimekuwa nyingi na mada zimekuwa nyingi, nikasema ngoja niusome. Kwenye Waraka wenu, kwanza Kuna uongo na unafiki mwingi. Kingine imeonyesha ya kuwa Ukatoliki Haina misingi ya kielimu kwa maana misingi ya ki dini.

Ndio maana wapo wenzako wakiambiwa wasichanganye dini na siasa, wanahisi ni uongo. Lakini mtu unajiuliza ina maana Wakristo wameshindwa kuona ya kuwa Wana changanya dini na siasa.

Ukisoma hu Waraka Kuna uongo wa wazi umeandikwa na hao Maaskofu na hili nilihisi tangu mwanzo kuwa hakutakuwa na uadilifu, na hii inedhihirisha kwa namna gani Wakristo si watu wakuhoji.

Ukiangalia nukta ya pili inaonyesha katika halina misingi ya kidini, kwa kuupigia chapuo mfumo wa kishetani wa Demokrasia. Wapi katika mafundisho ya mitume wa kweli, walifundisha mamlaka hutolewa na Wananchi ? Hii ni Demokrasia.

Kingine, hakuna andiko lolote sahihi kinalosema "Sauti ya watu ni Sauti ya Mungu". Hii ni falsafa na lugha chafu ya kumzulia uongo Mungu.

Uongo mwingine ni pale wanaposema Wananchi hawajapenda bandari ichukuliwe ni Wananchi gani hao ? Bali wapo Wananchi ambao hawana muda na mambo hayo bali hawafatilii, huu ni uongo.

Lakini Kabisa limeonyesha halina muongozo wa kidini. Hapa tutawauliza Yesu aliwafundisha nini au panapo tokea sintofahamu chini ya mtawala, kifanyike nini ? Aliwafundisha muandike Waraka usomwe kama mnavyo fanya ? Maana yake matendo mnayo yafanya na hao viongozi wenu ni matendo ya Wanaharakati na Wanasiasa. Maana yake Wakatoliki hawana muongozo Wala misingi sahihi ya kimungu zaidi ya uhuni na uchochezi.

Tofauti na sisi Waislamu, sisi tuna misingi yetu hatupelekwi na mihemko ya Wanasiasa kama Maaskofu wenu.
 
Na muda huu kikwete yupo musoma huko kwenye uzinduz wa kanisa la wasabato
Huyo huyo Kikwete ndiyo kamuingiza Samia kwenye choo cha kiume. Yeye alikula la za Wachina, aliposhtuka Magufuli, akataka urudi wakati wa Samia, iliposhindikana ndiyo mama akutumwa Dubai na kupata ulaji mwingine ambao ule wa Mchina unaonekana afadhali. Wa mchina ulikuwa na kikomo, wa mwarabu ni wa kudumu, maana imetamkwa kuwa hauwezi kuvunjwa, na kwa vile hauna ukomo, ni "PERMANENT", au hili nalo linahitaji shahada ya sheria kulitambua kwenye mkataba. Mkataba wenyewe umeandikwa kwa kingereza cha mtu au watu ambao hawakwenda skuli.
 
Hata wakati wakugombania uhuru,makanisa yalipinga,na kujitenga kugombania uhuru.Ulipopatikana,wakajitokeza,hawaeleweki hawa.
Hao waliyopinga siku hizo, siyo hao waliyokuwa kwenye uongozi wa kanisa. Kumbuka mpaka tunapata uhuru 1961 karibu 99.9% wa uongozi wa kanisa katoliki Tanganyika ulikuwa ni wa wazungu. Sasa hivi uongozi wa kanisa katoliki TZ ni 100% Watanzania.
 
Ufundi uko wapi ? Hivi mpaka leo viongozi wa dini hawajajua ya kuwa Demokrasia ni ushetani ?

Unakuja kujifaragua kuwa Waraka umeandikwa kwa weledi. Viongozi gani wa dini wanashindwa kufanya utafiti juu ya Demokrasia, halafu hao hao wanarejea kwenye Demokrasia ?

Viongozi gani wa dini wasio wajua watu kina nani ? Wameandika Waraka kwa kurejea au kutilia msingi ya kuwa watu wenyewe ndio msingi ? Hivi viongozi wenu ni viongozi wa dini gani ? Au Ukatoliki ni dini pweke isiyo toka kwa Mungu ?

Kuna muda bora make kimya, mtulie muache hamasa hasi.

Taaluma gani ya juu ambayo imekosa umakini wakushindwa kuacha nafasi katika nukta ya kwanza isemayo "kuwakwa".

Kumbe ndiyo maana Uarabuni hakuna demokrasia, maana wanaamini demokrasia ni ushetani.
 
Mwanzo siku usoma huu Waraka, sababu Mimi si mtu wa siasa na sifatilii. Ila nilipo ona kelele zimekuwa nyingi na mada zimekuwa nyingi, nikasema ngoja niusome. Kwenye Waraka wenu, kwanza Kuna uongo na unafiki mwingi. Kingine imeonyesha ya kuwa Ukatoliki Haina misingi ya kielimu kwa maana misingi ya ki dini.

Ndio maana wapo wenzako wakiambiwa wasichanganye dini na siasa, wanahisi ni uongo. Lakini mtu unajiuliza ina maana Wakristo wameshindwa kuona ya kuwa Wana changanya dini na siasa.

Ukisoma hu Waraka Kuna uongo wa wazi umeandikwa na hao Maaskofu na hili nilihisi tangu mwanzo kuwa hakutakuwa na uadilifu, na hii inedhihirisha kwa namna gani Wakristo si watu wakuhoji.

Ukiangalia nukta ya pili inaonyesha katika halina misingi ya kidini, kwa kuupigia chapuo mfumo wa kishetani wa Demokrasia. Wapi katika mafundisho ya mitume wa kweli, walifundisha mamlaka hutolewa na Wananchi ? Hii ni Demokrasia.

Kingine, hakuna andiko lolote sahihi kinalosema "Sauti ya watu ni Sauti ya Mungu". Hii ni falsafa na lugha chafu ya kumzulia uongo Mungu.

Uongo mwingine ni pale wanaposema Wananchi hawajapenda bandari ichukuliwe ni Wananchi gani hao ? Bali wapo Wananchi ambao hawana muda na mambo hayo bali hawafatilii, huu ni uongo.

Lakini Kabisa limeonyesha halina muongozo wa kidini. Hapa tutawauliza Yesu aliwafundisha nini au panapo tokea sintofahamu chini ya mtawala, kifanyike nini ? Aliwafundisha muandike Waraka usomwe kama mnavyo fanya ? Maana yake matendo mnayo yafanya na hao viongozi wenu ni matendo ya Wanaharakati na Wanasiasa. Maana yake Wakatoliki hawana muongozo Wala misingi sahihi ya kimungu zaidi ya uhuni na uchochezi.

Tofauti na sisi Waislamu, sisi tuna misingi yetu hatupelekwi na mihemko ya Wanasiasa kama Maaskofu wenu.
Kwa hiyo Watanzania wamependelea waarabu wachukuwe bandari?
 
Mwanzo siku usoma huu Waraka, sababu Mimi si mtu wa siasa na sifatilii. Ila nilipo ona kelele zimekuwa nyingi na mada zimekuwa nyingi, nikasema ngoja niusome. Kwenye Waraka wenu, kwanza Kuna uongo na unafiki mwingi. Kingine imeonyesha ya kuwa Ukatoliki Haina misingi ya kielimu kwa maana misingi ya ki dini.

Ndio maana wapo wenzako wakiambiwa wasichanganye dini na siasa, wanahisi ni uongo. Lakini mtu unajiuliza ina maana Wakristo wameshindwa kuona ya kuwa Wana changanya dini na siasa.

Ukisoma hu Waraka Kuna uongo wa wazi umeandikwa na hao Maaskofu na hili nilihisi tangu mwanzo kuwa hakutakuwa na uadilifu, na hii inedhihirisha kwa namna gani Wakristo si watu wakuhoji.

Ukiangalia nukta ya pili inaonyesha katika halina misingi ya kidini, kwa kuupigia chapuo mfumo wa kishetani wa Demokrasia. Wapi katika mafundisho ya mitume wa kweli, walifundisha mamlaka hutolewa na Wananchi ? Hii ni Demokrasia.

Kingine, hakuna andiko lolote sahihi kinalosema "Sauti ya watu ni Sauti ya Mungu". Hii ni falsafa na lugha chafu ya kumzulia uongo Mungu.

Uongo mwingine ni pale wanaposema Wananchi hawajapenda bandari ichukuliwe ni Wananchi gani hao ? Bali wapo Wananchi ambao hawana muda na mambo hayo bali hawafatilii, huu ni uongo.

Lakini Kabisa limeonyesha halina muongozo wa kidini. Hapa tutawauliza Yesu aliwafundisha nini au panapo tokea sintofahamu chini ya mtawala, kifanyike nini ? Aliwafundisha muandike Waraka usomwe kama mnavyo fanya ? Maana yake matendo mnayo yafanya na hao viongozi wenu ni matendo ya Wanaharakati na Wanasiasa. Maana yake Wakatoliki hawana muongozo Wala misingi sahihi ya kimungu zaidi ya uhuni na uchochezi.

Tofauti na sisi Waislamu, sisi tuna misingi yetu hatupelekwi na mihemko ya Wanasiasa kama Maaskofu wenu.
Mkuu unateseka ukiwa wapi?
 
Waraka wa Wakatoliki ulioandaliwa na Baraza la Maaskofu kiukweli unaonesha ni watu wenye uwezo mkubwa sana kiakili. Uwezo wa TEC ni zaidi ya Baraza la Mawaziri TZ ni watu wenye uwezo mkubwa mno. Serikali ijitathimini, hakuna itakachoongea serikali ikamconvince Mkatoliki kuhusu huo mkataba, nyundo zimegongelewa kanisaini kwa waumini haijapata kutokea.
 
Waraka wa Wakatoliki ulioandaliwa na Baraza la Maaskofu kiukweli unaonesha ni watu wenye uwezo mkubwa sana kiakili. Uwezo wa TEC ni zaidi ya Baraza la Mawaziri TZ ni watu wenye uwezo mkubwa mno. Serikali ijitathimini, hakuna itakachoongea serikali ikamconvince Mkatoliki kuhusu huo mkataba, nyundo zimegongelewa kanisaini kwa waumini haijapata kutokea.
Very rational, well balanced...!!!
 
Huo WARAKA hakuna utakachobadilisha ,,
Ni upepo tu huo na utapita
 
Hiv kweli mngekuwa na akili hizo mnazojinasibu kuwa nazo nchi hii ingekuwa masikin hivi?

Mngekuwa na akili Kwa kiwango hicho mngekuwa watumwa wa Vatican?

Kama unaamin katika din huna sababu ya kujidai unaakili ,, maana mengi Kati ya unayoamini NI hadith za Abunuas tu
 
Kwanza anuani tu ya Waraka wenyewe ni uongo mtupu.

Wakristo Kuna muda tumieni akili na uadilifu, shida yenu mlinyimwa uadilifu Wakristo.

Hivi ni kweli sauti ya watu ni sauti ya Mungu ? Mungu mnae muongelea hapa ?

Mnajua Mungu nyinyi ? Sasa Kuna weledi gani katika huo Waraka muda ambao anuani tu ya Waraka wenyewe ni uongo na Haina uhalisia ?

Mnapoona Waislamu hasa viongozi wa dini mfano Masheikh zetu (namaanisha masheikh zetu sisi wamekaa kimya) mjue wana akili timamu.

Jadili kwanza ukweli kuhusu hiyo anuani inayo someka "Sauti ya watu, sauti ya Mungu".

Rekwbisheni kiti chenu kwanza, kisha mkipambe.
Kweli ww ngozi ya tko. Kwa hiyo ww unamjua Mungu kuliko maaskofu!?
 
Binafsi sina shida na huu mkataba ila kwanini zanzibar hawapo katika hii agreement wakati sisi wote ni tanzania!! Hapo ndio ninapopatwa na wasiwasi
 
Back
Top Bottom