Waraka wa TEC: TV IMAAN hawakujipanga!

Povu linalokutoka kwa nia njema kabisa likubariki wewe na ukoo wako.

Bandari ni rasilimali asili na kuondokana nayo ni wehu kiwango cha lami
Ila hatutaki uongo na uzandiki, hapa ndipo tunapo tofautiana.
 
Ila hatutaki uongo na uzandiki, hapa ndipo tunapo tofautiana.
Spika wa Bunge Akson Tulia akiwa ametulia tuliii akisikiliza kwa makini Waraka wa TEC kanisani leo asubuhi

Mbaya zaidi na Waraka kapewa kaupokea ila kausogeza pembeni hapo..!
20230821_085236.jpg
 
Eti uweledi ?😅😅hamna hoja ..Amini ukristo sio watu kama wewe wanaofanya makosa ya wazi kwa kukosa maarifa.

Basi wameandika porojo tupu yaani ukichambua kama form four ndo wameandika unaweza kupata hoja kibao ,hakuna andiko la kisoma hapo ndo maana research ni replicable ila hilo bandiko ukichambua tena kwa utafiti unaweza kufuta hoja kama zote hazina mashiko wala ufanisi kwa vile hamjui nn mnaandika.
Kitu kidogo tu mnasema hapakuwa na mwekezaji tofauti na serikali wakati Ticts alikuwepo zaidi ya miaka 20 hapo mna elimu au matope?

Mnashindwa kuwa na exposure kwamba uwekezaji hata mataifa makubwa upo ,then mnaongelea cheap politics za kizamani sasa huo usomi usiojua hata maendeleo ya kisasa ni akili zilizoshindwa kujiendesha kwa kupumbazwa na kazi ndogo za kukusanya sadaka instead ya kuumiza kichwa upate exposure .. Inakuwaje msomi wa masters anashindwa kuandika andiko lenye nondo nzito?
20230821_100343.jpg
 
Vyovyote vile.
Lakini bora ukiwa karibu na Mungu anakuongoza
Mungu gani ambaye anawaongoza kwenye upotevu na hamasa za kijinga ? Wanaleta falsafa kwenye mambo ya msingi ? Unajua thamani ya damu za watu wewe ?

Niliwauliza Yesu mnae dai mnafata aliishi chini ya tawala za viongozi waovu, alifanya vipi kukabiliana na watawala waovu ? Je alichochea ? Aliwatusi viongozi au aliandika Waraka na kusomwa kama unavyosomwa na Maaskofu ?

Sasa utawaotaje ni viongozi wa dini na wapo karibu na dini ? Huku hawafati dini ? Jambo ambalo balishangaa kwa Maaskofu wenu ni kuwa wajinga kiasi ambacho wanapita mapito ya Wanasiasa na Wanaharakati, watu ambao wanafata akili zao na maslahi yao.

Nani alikwambia ya kuwa "Sauti ya watu ni sauti ya Mungu?" kama si Falsafa na kumzulia uongo Mungu ? Mnawajua watu walivyo ? Mnajua Mungu alivyo ?
 
Eti uweledi ?hamna hoja ..Amini ukristo sio watu kama wewe wanaofanya makosa ya wazi kwa kukosa maarifa.

Basi wameandika porojo tupu yaani ukichambua kama form four ndo wameandika unaweza kupata hoja kibao ,hakuna andiko la kisoma hapo ndo maana research ni replicable ila hilo bandiko ukichambua tena kwa utafiti unaweza kufuta hoja kama zote hazina mashiko wala ufanisi kwa vile hamjui nn mnaandika.
Kitu kidogo tu mnasema hapakuwa na mwekezaji tofauti na serikali wakati Ticts alikuwepo zaidi ya miaka 20 hapo mna elimu au matope?

Mnashindwa kuwa na exposure kwamba uwekezaji hata mataifa makubwa upo ,then mnaongelea cheap politics za kizamani sasa huo usomi usiojua hata maendeleo ya kisasa ni akili zilizoshindwa kujiendesha kwa kupumbazwa na kazi ndogo za kukusanya sadaka instead ya kuumiza kichwa upate exposure .. Inakuwaje msomi wa masters anashindwa kuandika andiko lenye nondo nzito?
View attachment 2723612
ee1d182305a30d7b43bd2911de0a77fc.jpg
 
Mungu gani ambaye anawaongoza kwenye upotevu na hamasa za kijinga ? Wanaleta falsafa kwenye mambo ya msingi ? Unajua thamani ya damu za watu wewe ?

Niliwauliza Yesu mnae dai mnafata aliishi chini ya tawala za viongozi waovu, alifanya vipi kukabiliana na watawala waovu ? Je alichochea ? Aliwatusi viongozi au aliandika Waraka na kusomwa kama unavyosomwa na Maaskofu ?

Sasa utawaotaje ni viongozi wa dini na wapo karibu na dini ? Huku hawafati dini ? Jambo ambalo balishangaa kwa Maaskofu wenu ni kuwa wajinga kiasi ambacho wanapita mapito ya Wanasiasa na Wanaharakati, watu ambao wanafata akili zao na maslahi yao.

Nani alikwambia ya kuwa "Sauti ya watu ni sauti ya Mungu?" kama si Falsafa na kumzulia uongo Mungu ? Mnawajua watu walivyo ? Mnajua Mungu alivyo ?
Nikikujibu hoja kwa hoja nitakuwa mjinga kama wewe.

Mungu akuongoe
 
Back
Top Bottom