Waraka wa TEC: TV IMAAN hawakujipanga!

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,638
697,938
Waraka unaopinga kuchukuliwa kwa bandari zetu zote na kampuni ya DPW kwa mkataba mbovu sana uliachiliwa juzi mara tu watuhumiwa wa kesi ya uhaini walipopata dhamana! Usiniulize kama kesi za uhaini zina dhamana!

Waraka husika umepangiliwa na kuandikwa kiweledi inavyotakikana.. Umetumia ufundi na taaluma ya hali ya juu
Umeandikwa baada ya kufanyiwa utafiti wa kina, ithibati za kutosha na umeangazia kaliba zote katika jamii kwa makundi yao.. Ni waraka uliojitosheleza mno..!

Timing iliyofanyika pia ni ya hali ya juu uliachiwa siku mbili kabla ya siku ya ibada ili uwezwe kusambazwa kwenye mtandao wake nchi nzima na kisha jana ukatolewa wito usomwe kwenye makanisa yote siku ya ibada. Jambo ambalo limefanyika kwa mafanikio makubwa sana!

TEC walishagundua kilichomo kwenye waraka wao kitapata vizingiti na figidu za kila aina ili usiwafikie wananchi wengi. Walitambua pia vyombo vya habari vitazuiwa kuchapisha maudhui yake
Trick ilikuwa ni moja tuu usomwe makanisani kote ambako kuna waumini mchanganyiko wa itikadi zote wakiwepo ccm kwa wingi wa idadi yao.. Yaani wamesikilizishwa mkataba bila kupenda na kwa kutulia tuli hata kama walikuwa hawataki

Walioingizwa cha jiji ni TV Imaan .. Baada ya mamlaka kuona wameshindwa kabisa kuuzuia waraka usisambazwe na kusomwa kwenye ibada za leo.. Kwa haraka wakawatafuta Tv Imaan na wasemaji wa kuuchambua waraka!

Walichoshindwa kujua ni kwamba wameongeza wigo wa watu wengine wengi kufikiwa na waraka! Yaani kwa ufupi Tv Imaan imecheza bit ya TEC kwenye kuusambaza waraka
Wachambuzi wake hawakuwa wamejiandaa
Hawakuwa na data
Hawakuwa na uchambuzi zaidi ya tuhuma za kiimani.. Kipindi kimeisha bila kutoa majibu yoyote zaidi ya kuwaongezea mshawasha watu wengi zaidi wausome waraka!
Screenshot_20230820-120219~3.jpg
 
Hakuna padri kilaza (vigezo vya kielimu vya kidunia) kwani ili uweze kufikia daraja la upadri lazima ufaulu vizuri elimu ya dunia na ya dini kwa kiwango kizuri. Waliosoma seminari wanalielewa hili vizuri.

Kingine cha kutia moyo hakuna padri mnafiki au mmbea. Kigezo kimoja wapo cha kukutoa seminari ni aidha kupeleka umbea au fitina kwa wakubwa au kujitenga na wenzako kwa lile wafanyalo liwe zuri au baya. Hufundishwa solidarity kwa vitendo
 
Waraka unaopinga kuchukuliwa kwa bandari zetu zote na kampuni ya DPW kwa mkataba mbovu sana uliachiliwa juzi mara tu watuhumiwa wa kesi ya uhaini walipopata dhamana! Usiniulize kama kesi za uhaini zina dhamana!

Waraka husika umepangiliwa na kuandikwa kiweledi inavyotakikana.. Umetumia ufundi na taaluma ya hali ya juu
Umeandikwa baada ya kufanyiwa utafiti wa kina, ithibati za kutosha na umeangazia kaliba zote katika jamii kwa makundi yao.. Ni waraka uliojitosheleza mno..!

Timing iliyofanyika pia ni ya hali ya juu uliachiwa siku mbili kabla ya siku ya ibada ili uwezwe kusambazwa kwenye mtandao wake nchi nzima na kisha jana ukatolewa wito usomwe kwenye makanisa yote siku ya ibada. Jambo ambalo limefanyika kwa mafanikio makubwa sana!

TEC walishagundua kilichomo kwenye waraka wao kitapata vizingiti na figidu za kila aina ili usiwafikie wananchi wengi. Walitambua pia vyombo vya habari vitazuiwa kuchapisha maudhui yake
Trick ilikuwa ni moja tuu usomwe makanisani kote ambako kuna waumini mchanganyiko wa itikadi zote wakiwepo ccm kwa wingi wa idadi yao.. Yaani wamesikilizishwa mkataba bila kupenda na kwa kutulia tuli hata kama walikuwa hawataki

Walioingizwa cha jiji ni TV Imaan .. Baada ya mamlaka kuona wameshindwa kabisa kuuzuia waraka usisambazwe na kusomwa kwenye ibada za leo.. Kwa haraka wakawatafuta Tv Imaan na wasemaji wa kuuchambua waraka!

Walichoshindwa kujua ni kwamba wameongeza wigo wa watu wengine wengi kufikiwa na waraka! Yaani kwa ufupi Tv Imaan imecheza bit ya TEC kwenye kuusambaza waraka
Wachambuzi wake hawakuwa wamejiandaa
Hawakuwa na data
Hawakuwa na uchambuzi zaidi ya tuhuma za kiimani.. Kipindi kimeisha bila kutoa majibu yoyote zaidi ya kuwaongezea mshawasha watu wengi zaidi wausome waraka!
View attachment 2722705
Mkuu muda ni kipimo sahihi ila naona mbele kuna giza kubwa
 
Waraka unaopinga kuchukuliwa kwa bandari zetu zote na kampuni ya DPW kwa mkataba mbovu sana uliachiliwa juzi mara tu watuhumiwa wa kesi ya uhaini walipopata dhamana! Usiniulize kama kesi za uhaini zina dhamana!

Waraka husika umepangiliwa na kuandikwa kiweledi inavyotakikana.. Umetumia ufundi na taaluma ya hali ya juu
Umeandikwa baada ya kufanyiwa utafiti wa kina, ithibati za kutosha na umeangazia kaliba zote katika jamii kwa makundi yao.. Ni waraka uliojitosheleza mno..!

Timing iliyofanyika pia ni ya hali ya juu uliachiwa siku mbili kabla ya siku ya ibada ili uwezwe kusambazwa kwenye mtandao wake nchi nzima na kisha jana ukatolewa wito usomwe kwenye makanisa yote siku ya ibada. Jambo ambalo limefanyika kwa mafanikio makubwa sana!

TEC walishagundua kilichomo kwenye waraka wao kitapata vizingiti na figidu za kila aina ili usiwafikie wananchi wengi. Walitambua pia vyombo vya habari vitazuiwa kuchapisha maudhui yake
Trick ilikuwa ni moja tuu usomwe makanisani kote ambako kuna waumini mchanganyiko wa itikadi zote wakiwepo ccm kwa wingi wa idadi yao.. Yaani wamesikilizishwa mkataba bila kupenda na kwa kutulia tuli hata kama walikuwa hawataki

Walioingizwa cha jiji ni TV Imaan .. Baada ya mamlaka kuona wameshindwa kabisa kuuzuia waraka usisambazwe na kusomwa kwenye ibada za leo.. Kwa haraka wakawatafuta Tv Imaan na wasemaji wa kuuchambua waraka!

Walichoshindwa kujua ni kwamba wameongeza wigo wa watu wengine wengi kufikiwa na waraka! Yaani kwa ufupi Tv Imaan imecheza bit ya TEC kwenye kuusambaza waraka
Wachambuzi wake hawakuwa wamejiandaa
Hawakuwa na data
Hawakuwa na uchambuzi zaidi ya tuhuma za kiimani.. Kipindi kimeisha bila kutoa majibu yoyote zaidi ya kuwaongezea mshawasha watu wengi zaidi wausome waraka!
View attachment 2722705
Mkuu muda ni kipimo sahihi ila naona mbele kuna giza kubwa
 
Waraka unaopinga kuchukuliwa kwa bandari zetu zote na kampuni ya DPW kwa mkataba mbovu sana uliachiliwa juzi mara tu watuhumiwa wa kesi ya uhaini walipopata dhamana! Usiniulize kama kesi za uhaini zina dhamana!

Waraka husika umepangiliwa na kuandikwa kiweledi inavyotakikana.. Umetumia ufundi na taaluma ya hali ya juu
Umeandikwa baada ya kufanyiwa utafiti wa kina, ithibati za kutosha na umeangazia kaliba zote katika jamii kwa makundi yao.. Ni waraka uliojitosheleza mno..!

Timing iliyofanyika pia ni ya hali ya juu uliachiwa siku mbili kabla ya siku ya ibada ili uwezwe kusambazwa kwenye mtandao wake nchi nzima na kisha jana ukatolewa wito usomwe kwenye makanisa yote siku ya ibada. Jambo ambalo limefanyika kwa mafanikio makubwa sana!

TEC walishagundua kilichomo kwenye waraka wao kitapata vizingiti na figidu za kila aina ili usiwafikie wananchi wengi. Walitambua pia vyombo vya habari vitazuiwa kuchapisha maudhui yake
Trick ilikuwa ni moja tuu usomwe makanisani kote ambako kuna waumini mchanganyiko wa itikadi zote wakiwepo ccm kwa wingi wa idadi yao.. Yaani wamesikilizishwa mkataba bila kupenda na kwa kutulia tuli hata kama walikuwa hawataki

Walioingizwa cha jiji ni TV Imaan .. Baada ya mamlaka kuona wameshindwa kabisa kuuzuia waraka usisambazwe na kusomwa kwenye ibada za leo.. Kwa haraka wakawatafuta Tv Imaan na wasemaji wa kuuchambua waraka!

Walichoshindwa kujua ni kwamba wameongeza wigo wa watu wengine wengi kufikiwa na waraka! Yaani kwa ufupi Tv Imaan imecheza bit ya TEC kwenye kuusambaza waraka
Wachambuzi wake hawakuwa wamejiandaa
Hawakuwa na data
Hawakuwa na uchambuzi zaidi ya tuhuma za kiimani.. Kipindi kimeisha bila kutoa majibu yoyote zaidi ya kuwaongezea mshawasha watu wengi zaidi wausome waraka!
View attachment 2722705
Zimetoka nyaraka nyingi lakini huu wa maaskofu ni moto
 
Back
Top Bottom