Waraka wa TEC: TV IMAAN hawakujipanga!

Mipasuko iliyopo nchini kwa Sasa.
1. Ccm vs chadema
2. Tanganyika vs Zanzibar
3. Ukristo(Roma) vs uislamu

Tudumishe amani jamani.....
Hii migawanyiko ipo siku zote, ila Inakua imeshikamana shida ni pale itakapo pingana na kuondoa mshikamano kwa sababu ya jambo flani, na unajua kinachosababisha hili kwa Sasa ni huu mkataba, na hata uwezo WA makundi kushindwa tu kujiegemeza upanda Aidha ya wanaopinga au wanounga mkono kwa kutumia nguvu ya hoja na badala yake kutumia hizo static fault katika jamii yetu ili kutafuta uungajwi mkono.
Ikumbukwe tu hakuna mwanachi WA Tanzania asiye katika kundi flani Aidha dini,kabila , Kanda ,itikadi ya kisiasa, ubara na uzanzibar kwa hiyo sio Kila anayesema kwenye jambo la bandari basi auhukumiwe kwamba analetagawanyiko kwa makundi me gine vinginevyo Kila mtu ingebidi anyamaze.
 
Hakuna padri kilaza (vigezo vya kielimu vya kidunia) kwani ili uweze kufikia daraja la upadri lazima ufaulu vizuri elimu ya dunia na ya dini kwa kiwango kizuri. Waliosoma seminari wanalielewa hili vizuri.

Kingine cha kutia moyo hakuna padri mnafiki au mmbea. Kigezo kimoja wapo cha kukutoa seminari ni aidha kupeleka umbea au fitina kwa wakubwa au kujitenga na wenzako kwa lile wafanyalo liwe zuri au baya. Hufundishwa solidarity kwa vitendo
Tambua kuwa elimu ambayo haimnufaishi mwenye hiyo elimu au jamii ni sawa na punda aliyebeba mzigo wa vitabu ambavyo havimnufaishi. Hawa mapadri na maaskofu wana hiyo elimu lakini Taifa limenufaika vipi na hiyo elimu zaidi ya kuona Kanisa Katoliki likijihusisha kwenye ufisadi na kutumia bandari kwa maslahi binafsi kupitisha shehena za mabilioni pasina kulipa kodi.
Pili, waumini wa Kanisa Katoliki ndio waliojaa Serikalini lakini ndio wametopea kwenye ufisadi. Unapozungumzia ufisadi mchi hii huwezi kuliweka kandoKanisa Katoliki.
Mwisho, hao mapadre na maaskofu wa Kanisa Katoliki unaowaona hawakosei na wana akili sana ndio walioiiingiza Rwanda kwenye mauaji ya halaiki. Chuki za kikabila na kidini walizozipandikiza zilipelekea watu laki nane kupoteza maisha. Endeleeni kuwatukuza na kuwaona kuwa wao ni malaika ilhali wenzenu ni mafisadi kama wengine tu.
 
Tambua kuwa elimu ambayo haimnufaishi mwenye hiyo elimu au jamii ni sawa na punda aliyebeba mzigo wa vitabu ambavyo havimnufaishi. Hawa mapadri na maaskofu wana hiyo elimu lakini Taifa limenufaika vipi na hiyo elimu zaidi ya kuona Kanisa Katoliki likijihusisha kwenye ufisadi na kutumia bandari kwa maslahi binafsi kupitisha shehena za mabilioni pasina kulipa kodi.
Pili, waumini wa Kanisa Katoliki ndio waliojaa Serikalini lakini ndio wametopea kwenye ufisadi. Unapozungumzia ufisadi mchi hii huwezi kuliweka kandoKanisa Katoliki.
Mwisho, hao mapadre na maaskofu wa Kanisa Katoliki unaowaona hawakosei na wana akili sana ndio walioiiingiza Rwanda kwenye mauaji ya halaiki. Chuki za kikabila na kidini walizozipandikiza zilipelekea watu laki nane kupoteza maisha. Endeleeni kuwatukuza na kuwaona kuwa wao ni malaika ilhali wenzenu ni mafisadi kama wengine tu.
Hivi ule waraka wa TEC umeisilikiliza audio yake? Au umepata bahati ya kuusoma?
 
IMimi najuta kwann sikuwa Mkatoliki tangu utotonini Kweli TEC waiishi milele
Mungu atusaidie sana ... Tunapokuwa watoto tunakuta familia zetu ziko kwenye imani fulani na wewe unaaminishwa hiyo Imani na unajua uko sahihi na hata unapokua mkubwa unaitetea hata kwa nguvu zote hata kupigana ukijua
ni imani sahihi lkn hujui kwa upande mwingine ungezaliwa kwenye imani nyingine napo ungekuwa ivo ivo.
Leo watu wanagombana na kutukanana kuhusu imani Lkn hawajiulizi Kama imani waliyonayo ni sahihi.! Je imani aliyonayo ameijua ukubwani au amelishwa tu tangu utoto wake akiwa hana ufahamu wowote.

Imani zingekuwa zinafundishwa shuleni Kama masomo then badae mtu akikua na kuelewa akachagua mwenyewe Sasa Mimi niingie Imani fulani au dini fulani kwa kuwa Sasa nina akili na uelewa wangu binafsi. Sijui tungkuaje Leo ni mtazamo tuu.😉😑 .



.
 
Mungu atusaidie sana ... Tunapokuwa watoto tunakuta familia zetu ziko kwenye imani fulani na wewe unaaminishwa hiyo Imani na unajua uko sahihi na hata unapokua mkubwa unaitetea hata kwa nguvu zote hata kupigana ukijua
ni imani sahihi lkn hujui kwa upande mwingine ungezaliwa kwenye imani nyingine napo ungekuwa ivo ivo.
Leo watu wanagombana na kutukanana kuhusu imani Lkn hawajiulizi Kama imani waliyonayo ni sahihi.! Je imani aliyonayo ameijua ukubwani au amelishwa tu tangu utoto wake akiwa hana ufahamu wowote.

Imani zingekuwa zinafundishwa shuleni Kama masomo then badae mtu akikua na kuelewa akachagua mwenyewe Sasa Mimi niingie Imani fulani au dini fulani kwa kuwa Sasa nina akili na uelewa wangu binafsi. Sijui tungkuaje Leo ni mtazamo tuu.😉😑 .



.

Hili pia ni tatizo lako, Mimi nimezaliwa Muislamu, lakini Imani yangu naendelea kusoma mpaka pale nitakapo rudi kwa Mola wangu.

Yaani mwisho wa kuisoma Imani yangu ni pale uhai wangu utakapo koma. Kwahiyo Imani yangu nimeikuta na nikaisoma na ninaendelea kuisoma.
 
Tambua kuwa elimu ambayo haimnufaishi mwenye hiyo elimu au jamii ni sawa na punda aliyebeba mzigo wa vitabu ambavyo havimnufaishi. Hawa mapadri na maaskofu wana hiyo elimu lakini Taifa limenufaika vipi na hiyo elimu zaidi ya kuona Kanisa Katoliki likijihusisha kwenye ufisadi na kutumia bandari kwa maslahi binafsi kupitisha shehena za mabilioni pasina kulipa kodi.
Pili, waumini wa Kanisa Katoliki ndio waliojaa Serikalini lakini ndio wametopea kwenye ufisadi. Unapozungumzia ufisadi mchi hii huwezi kuliweka kandoKanisa Katoliki.
Mwisho, hao mapadre na maaskofu wa Kanisa Katoliki unaowaona hawakosei na wana akili sana ndio walioiiingiza Rwanda kwenye mauaji ya halaiki. Chuki za kikabila na kidini walizozipandikiza zilipelekea watu laki nane kupoteza maisha. Endeleeni kuwatukuza na kuwaona kuwa wao ni malaika ilhali wenzenu ni mafisadi kama wengine tu.
Wenzako wamepata elimu na matibabu kwenye shule hospitali zao tangu enzi za mkoloni. Muulize mama yako unaezakuta ww ni mnufaika wa elimu na uwekezaji wa kanisa katoliki

Nikukumbushe mapadre hawajisomeshi wanasomeshwa na kanisa kwa ajili ya kazi za kanisa na jamii kwa jumla
 
Wenzako wamepata elimu na matibabu kwenye shule hospitali zao tangu enzi za mkoloni. Muulize mama yako unaezakuta ww ni mnufaika wa elimu na uwekezaji wa kanisa katoliki

Nikukumbushe mapadre hawajisomeshi wanasomeshwa na kanisa kwa ajili ya kazi za kanisa na jamii kwa jumla
Nikukumbushe mapadre hawajisomeshi wanasomeshwa na kanisa kwa ajili ya kazi za kanisa na jamii kwa jumla
 
Back
Top Bottom