Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 15,026
- 32,724
Nchi haitokuwa na watu hawa ambao wanaume hatawaki kuoa 😅😅ila waangalia porno za computers kanisa.
Safi sana kama tamko limewafikia wengi!!
Bandari imekuwa bandari. Hatupumuwi aisee.
Uzuri ni mabingwa wa kufuata upepo, typical CHAWAz.Timu Pinzani inazidi kufanya substitute lakini bado milango ni migumu sana
Huoni madhara ya hiyo substitution kwa upande wenu, vile inavyoonesha wanaolielewa tatizo mlilotengeneza wanavyoongezeka?Timu Pinzani inazidi kufanya substitute lakini bado milango ni migumu sana
walianza Wanaharakati, wakaingia wasomi, wakaja Chadema na wainjilist na sasa kaja mwenye vifaranga wake TEC
dakika ndio kwanza ya 15 kipindi cha kwanza
Tunawakumbusha tu hii marathon ni ya km 420 sio 42
HahahahaUzuri ni mabingwa wa kufuata upepo, typical CHAWAz.
Mmeshabadilika mara kadhaa sasa kwa mtu wenu huyo huyo....Mungu awasaidie tu msije kubadili visivyoruhusiwa kubadilika.
Mbona sikusikii ukiongelea bandari unaongea mipasho tu
Cha Uongo WeweeKuna clip nimeisikia mzee wa msoga anawaomba TEC wasichanganye dini na siasa,
Nikajiuliza kwanini asimshauri bi mdogo aachane na mkataba