Kamanda.... CCM umekua mnara wa babeli, kila mmoja anazungumza kivyake na dhambi yao imefika dead end, we subiri before June 2011 utaona mengiOk,
Lowassa; huyu Slaa karopoka. Naomba uliambie taifa, ni kauli gani ulitoa siku ile ulipokatiwa matangazo na TBC1? Nakumbuka ulianza kupanda mori na ukaonekana ulikuwa unaanza kumlenga JK moja kwa moja, unaweza kutueleza siri nyuma ya pazia?
Inapendeza mnaanza kuja public hivi!
Hiyo ni mbinu ya kukwepa ukweli.
Ukweli ni kwamba CCM inajua kuwa kile inachokitaka ndicho itakachopata na ndiyo maana haigopeshwi na kura halali zinazopigwa na Watanzania kwani inajua itazichakachua.
Kauli kama hii ya kipuuzi ilisemwa na Mkapa siku chache kuwa hata mwaka 1995 Mrema alipata mahudhurio makubwa lakini kura kdiogo. Wanajua kuwa walimuibia na kwani wana uwezo huo. CCM kukataa demokrasia ya kweli ni kama mtu kuhairisha kwenda haja!
Invisible tell us pleeeaaasee, aliropoka nini??Ok,
Lowassa; huyu Slaa karopoka. Naomba uliambie taifa, ni kauli gani ulitoa siku ile ulipokatiwa matangazo na TBC1? Nakumbuka ulianza kupanda mori na ukaonekana ulikuwa unaanza kumlenga JK moja kwa moja, unaweza kutueleza siri nyuma ya pazia?
Inapendeza mnaanza kuja public hivi!
dah. mkuu sikuwezi kwa kumbukumbu.Ok,
Lowassa; huyu Slaa karopoka. Naomba uliambie taifa, ni kauli gani ulitoa siku ile ulipokatiwa matangazo na TBC1? Nakumbuka ulianza kupanda mori na ukaonekana ulikuwa unaanza kumlenga JK moja kwa moja, unaweza kutueleza siri nyuma ya pazia?
Inapendeza mnaanza kuja public hivi!
Hapo Lowasa umenena kwa vile ccm mnajua kuwa kura zinapigiwa kwenye offisi za ccm na upanga cvu. Hongera kwa vile utakuwa waziri mkuu na chenge kuwa spika ili mdhibiti wanaotaka kuchakachua ufisadi weni. Kumbuka kilio cha watanzania wengi wanaoteseka kwa sababu ya hujma zenu na hao wahindi mnaowaibia wananchi huku nyie mkiendelea kujinafasi. Kwa sasa watoto wako watahamia UK kuangalia mpira wa arsenal huku watanzania wakifa kwa maradhi, ujinga na umaskini wa kutupwa. siku zenu zinahesabika.Mwisho, namsihi Dk. Slaa ajipe muda wa kuzifahamu vyema siasa za nchi hii. Asidanganywe na mahudhurio ya mikutano ya hadhara akadhani ndizo kura katika masanduku ya kupigia kura. Namsihi ajifunze` zaidi jinsi ya kufanya siasa za kistaarabu bila kueneza uvumi, uongo, chuki na uzushi vyenye kutetelesha amani ya nchi yetu. Mungu ibariki Tanzania.
amani na utulivu vilikuwepo kwa sababu gap kati ya viongozi na wananchi halikuwa kubwa sana kama kiongozi lowassa na wananchi, hakika hawakuwepo mafisadi papa kama lower hasamwasisi wa taifa hili, baba wa taifa, mwalimu julius kambarage nyerere, alituachia amani na utulivu ambavyo ni tunu ya taifa hili.
TAARIFA RASMI KWA VYOMBO VYA HABARI NOVEMBA 5, 2010
Mwisho, namsihi Dk. Slaa ajipe muda wa kuzifahamu vyema siasa za nchi hii. Asidanganywe na mahudhurio ya mikutano ya hadhara akadhani ndizo kura katika masanduku ya kupigia kura. Namsihi ajifunze` zaidi jinsi ya kufanya siasa za kistaarabu bila kueneza uvumi, uongo, chuki na uzushi vyenye kutetelesha amani ya nchi yetu. Mungu ibariki Tanzania.
Edward Lowassa
Mbunge Mteule wa Monduli