WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini

Wosia aliotuachia Baba wa Taifa unazidi kuunguruma dhidi ya huyu mtu dhalimu na kaburu mweusi.

"Tujenge Utamaduni wa kuthibiti Viongozi wetu kama wanavunja sheria za nchi, TUSIOGOPE. Mkianza na mkiwa na woga I PROMISE YOU mtatawaliwa na dictators I PROMISE YOU mkiogopaogopa namna hii nyinyi Wabunge, nani wote na kusema Mzee wanakuwa wakali then you're making absolutely_____ that you'll be under a dictatorship." Baba wa Taifa.



Hii Rafiki hata TBC hutokaa uisikie na kuna siku hata Youtube itafanyiwa editing ni vizuri tuaziweka vyema hizi record
 
Utube mbona wameshaanza kufuta vitu vingi wasivyovitaka na hata google baadhi ya habari za siku za nyuma ambazo zilikuwa zikipatikana kule sasa hivi hazipatikani.

Hii Rafiki hata TBC hutokaa uisikie na kuna siku hata Youtube itafanyiwa editing ni vizuri tuaziweka vyema hizi record
 
Niulize hawa watumishi, kwani mwaka jana 2017 nanjuzi 2016 hakukuwa na kwaresima? Au wanayoyaona hayafai kama walivyo ainisha kwenye tamko lao ndo yametokea weekend hii?
Watu wamelipigia kelele hili, wengine hadi waliwatajeni na baadhi walihoji nafasi na ukimya wenu kwenye hii serikali.
Mtakuwa mnasubiri kwaresima ya mara moja kwa mwaka ndo mseme kitu. Siku nyingine mtakuja sema kumbe mtakuwa mmechelewa.
 
Utube mbona wameshaanza kufuta vitu vingi wasivyovitaka na hata google baadhi ya habari za siku za nyuma ambazo zilikuwa zikipatikana kule sasa hivi hazipatikani.

Kuna siku CCM watalia na kusaga meno ni muda tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umeupata wapi Mindi? Mindi
Hili balaa sasa,viongozi wa dini wakisisitiza jambo,inanikumbusha nguvu za kabisa Poland,kupingana na serikali ya kijamaa ya wakati ule,kanisa katoliki,lilianza hivhivi,cha ajabu mkuu wa mkoa mmoja,anawaamulia watu wa nchi nzima,hakuna bunge wala demokrasia inayoheshimiwa,ati yeye kaletwa na Mungu,hahaaa.
 
Itakuwa wamejifunza kitu (nafasi yao katika jamii) kwa kupitia wale wenzao wa DRC
 
kanisa katoliki katika ubora wake.

kule drc congo joseph kabila hana hamu na wakatoliki.
 
Kwa kawaida ukiona tu Walaka zimeanza kutoka ujue Kisu Kimegusa mfupa.
Kwa sasa hamna namna inabidi watulie tu Dawa iingie vizuri, mambo ya "NIBEBE NIBEBE" hayana nafasi Utawala huu.
Sasa demokrasia inahusika nini na kubebwa
 
Kwa hiyo Baraza la Maaskofu limegeuka kuwa msimamizi wa mambo ya siasa? Kanisa limewashinda, week iliyopita tumeona wanamzika Kingunge lakini kwa walala hoi angezikwa kama hana thamani. Leo hii wanatoa wapi moral authority ya kujidai wanajali usawa?
Usiongee usichokijua
 
Back
Top Bottom