Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,753
- 218,366
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Katibu wa TEC Padri Kitima, leo 8/01/2024 Ametoa maoni ya Baraza la Maaskofu wa Kikatoliki ndani ya Bunge la Tanzania, kama Mchango wa Kanisa hilo kwenye Miswada ya Sheria za Uchaguzi.
TEC imesema kwamba Viongozi wa Serikali hawapaswi na iwe mwiko kwao kusimamia uchaguzi wowote , Kazi hiyo inapaswa kufanywa na Tume ya Uchaguzi tu.
Taarifa kamili hii hapa
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limeshauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutowatumia viongozi wa Serikali katika kusimamia uchaguzi na badala yake wahusike wenyewe katika uchaguzi mkuu na wa serikali za mitaa.
Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa TEC, Padre Charles Kitima baada ya kutoa maoni yake kwa Bunge kuhusu miswada ya sheria za uchaguzi leo Jumatatu, Januari 8, 2024, Bungeni jijini Dodoma.
TEC imesema kwamba Viongozi wa Serikali hawapaswi na iwe mwiko kwao kusimamia uchaguzi wowote , Kazi hiyo inapaswa kufanywa na Tume ya Uchaguzi tu.
Taarifa kamili hii hapa
Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) limeshauri Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kutowatumia viongozi wa Serikali katika kusimamia uchaguzi na badala yake wahusike wenyewe katika uchaguzi mkuu na wa serikali za mitaa.
Hayo yameelezwa na Katibu Mkuu wa TEC, Padre Charles Kitima baada ya kutoa maoni yake kwa Bunge kuhusu miswada ya sheria za uchaguzi leo Jumatatu, Januari 8, 2024, Bungeni jijini Dodoma.