Wapishi kuna somo lenu hapa kidogo

Wapishi kuna somo lenu hapa kidogo

Laiti ungezijua faida za njegere....

100g za njegere zinakupa mpaka 9g za fibre, na fibre ni muhimu mno mno!

Ukizingatia zilivyo nafuu ningeshauri watu wale kadri wanavyoweza.
 
Hello

Njegere sio mboga ni kiungo tu cha chakula kama vile nyanya na matumiz yake ni

Una weza pikia kwenye
Ubwabwa
Samaki
Nyama
Ndizi

Ivyo wengi mna geuza matumizi badaal yake mna ifanya mboga mna unga na nazi mna kosea ile ni kiungo cha nakshi nakshi kwenye chakula kuleta mvuto katika chakula

Ni hayo tu kwa leo
Tumia akili ...kwanini usiseme ni kiungo na mboga kwa sababu njegere ni mboga kamili nani kiungo kwa asilimia ndogo
 
Nani kasema? Njegere ni kama maharage au choroko. Waweza zipika zenyewe kama mboga au Waweza kufanya km kiungo katika vyakula vengine. I love njegere however zinavopikwa 😋
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom