johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,965
- 141,968
Tume ya uchaguzi Zanzibar imesema wapiga kura takribani 566,000 ndio watakaoshiriki uchaguzi mkuu mwaka huu.
Idadi hiyo inajumuisha wapiga kura wa Visiwa vya Unguja na Pemba waliojisajiri kwenye daftari la kudumu
Chanzo: ITV habari.
Maendeleo hayana vyama!
Idadi hiyo inajumuisha wapiga kura wa Visiwa vya Unguja na Pemba waliojisajiri kwenye daftari la kudumu
Chanzo: ITV habari.
Maendeleo hayana vyama!