Miswada ya Sheria ya Uchaguzi na Vyama vya Siasa nchini Tanzania: Wadau wataka kuwepo na midahalo ngazi zote za uchaguzi

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,014
9,883
JamiiForums, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Jukwaa la Katiba (JUKATA), Tanganyika Law Society (TLS), Twaweza East Africa, na Centre for Strategic Litigation (CSL), wametoa maoni kuhusu miswada minne inayohusiana na uchaguzi nchini Tanzania, ambayo imeletwa na Serikali na kusomwa kwa mara ya kwanza tarehe 10 Novemba 2023. Miswada hii inajumuisha Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani; Muswada wa Sheria ya Vyama vya Siasa na Gharama za Uchaguzi; na Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi. Serikali imetoa fursa kwa wadau kutoa maoni kwenye miswada hii kuanzia tarehe 6-10 Januari, 2024.

Katika muswada wa Sheria ya Uchaguzi, wadau wamependekeza mabadiliko yanayolenga kuboresha utaratibu wa uchaguzi na kuhakikisha chaguzi ni huru, za haki, na za uadilifu. Wamesisitiza umuhimu wa matumizi ya teknolojia katika utambuzi wa wapiga kura na uwepo wa midahalo kwa ngazi zote za uchaguzi.

Muswada wa Sheria ya Vyama vya Siasa wamependekeza mabadiliko muhimu kwenye Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2019. Kwa kuwa baadhi ya vifungu vinahitaji marekebisho ili kuhakikisha vyama vya siasa vinazingatia katiba na sheria nyingine za nchi.

Muswada wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi unalenga kuongeza uwazi na uwajibikaji katika masuala ya fedha katika uchaguzi. Hili ni jambo zuri katika kujenga demokrasia yenye uwazi na uwajibikaji kwa wadau wote.

Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wamependekeza kuanzishwa kwa sheria inayojitegemea kuhusu Tume ya Uchaguzi. Wamependekeza maboresho katika muundo wa Tume ili kuifanya iwe huru na isiyoingiliwa na mamlaka nyingine katika majukumu yake.
 
Watanzania wana mataizo sana! Hawa waliojadili ni wasomi wakiwemo TLS! jJUKATA, LHRC!

Unawezaje kuwa na Tume huru ''isiyoingiliwa na mamlka nyingine' wakati Katiba ya nchi inatoa mamlaka hayo kwa mamlaka nyingine kuingilia tume !

Hivi katiba ya nchi inasemaje kuhusu kuundwa kwa Tume! Unakuwaje na ume huru bila kugusa katiba ya nchi!

Pascal Mayalla JokaKuu
 
JamiiForums, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Jukwaa la Katiba (JUKATA), Tanganyika Law Society (TLS), Twaweza East Africa, na Centre for Strategic Litigation (CSL), wametoa maoni kuhusu miswada minne inayohusiana na uchaguzi nchini Tanzania, ambayo imeletwa na Serikali na kusomwa kwa mara ya kwanza tarehe 10 Novemba 2023. Miswada hii inajumuisha Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani; Muswada wa Sheria ya Vyama vya Siasa na Gharama za Uchaguzi; na Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi. Serikali imetoa fursa kwa wadau kutoa maoni kwenye miswada hii kuanzia tarehe 6-10 Januari, 2024.

Katika muswada wa Sheria ya Uchaguzi, wadau wamependekeza mabadiliko yanayolenga kuboresha utaratibu wa uchaguzi na kuhakikisha chaguzi ni huru, za haki, na za uadilifu. Wamesisitiza umuhimu wa matumizi ya teknolojia katika utambuzi wa wapiga kura na uwepo wa midahalo kwa ngazi zote za uchaguzi.

Muswada wa Sheria ya Vyama vya Siasa wamependekeza mabadiliko muhimu kwenye Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2019. Kwa kuwa baadhi ya vifungu vinahitaji marekebisho ili kuhakikisha vyama vya siasa vinazingatia katiba na sheria nyingine za nchi.

Muswada wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi unalenga kuongeza uwazi na uwajibikaji katika masuala ya fedha katika uchaguzi. Hili ni jambo zuri katika kujenga demokrasia yenye uwazi na uwajibikaji kwa wadau wote.

Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wamependekeza kuanzishwa kwa sheria inayojitegemea kuhusu Tume ya Uchaguzi. Wamependekeza maboresho katika muundo wa Tume ili kuifanya iwe huru na isiyoingiliwa na mamlaka nyingine katika majukumu yake.
Hii ya midahalo pigaua CCM hawatakubali, kama alishindwa mjanja Kikwete mpaka CCM ikamnyofoa kwenye kipazasauti nanihii ataweza?
 
Watanzania wana mataizo sana! Hawa waliojadili ni wasomi wakiwemo TLS! jJUKATA, LHRC!

Unawezaje kuwa na Tume huru ''isiyoingiliwa na mamlka nyingine' wakati Katiba ya nchi inatoa mamlaka hayo kwa mamlaka nyingine kuingilia tume !

Hivi katiba ya nchi inasemaje kuhusu kuundwa kwa Tume! Unakuwaje na ume huru bila kugusa katiba ya nchi!

Pascal Mayalla JokaKuu
Kwa bahati nzuri sana, mimi ni miongoni mwa tuliotoa maoni kabla miswada hiyo haijatungwa
View: https://youtu.be/PBpjDhH2XiA?si=8H5iIVbfcCiOucOU
Nilizungumzia hitaji la mabadiliko madogo ya katiba kwanza tuondoe ubatili huu ndipo tuje kwenye sheria.

P
 
JamiiForums, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Jukwaa la Katiba (JUKATA), Tanganyika Law Society (TLS), Twaweza East Africa, na Centre for Strategic Litigation (CSL), wametoa maoni kuhusu miswada minne inayohusiana na uchaguzi nchini Tanzania, ambayo imeletwa na Serikali na kusomwa kwa mara ya kwanza tarehe 10 Novemba 2023. Miswada hii inajumuisha Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani; Muswada wa Sheria ya Vyama vya Siasa na Gharama za Uchaguzi; na Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi. Serikali imetoa fursa kwa wadau kutoa maoni kwenye miswada hii kuanzia tarehe 6-10 Januari, 2024.

Katika muswada wa Sheria ya Uchaguzi, wadau wamependekeza mabadiliko yanayolenga kuboresha utaratibu wa uchaguzi na kuhakikisha chaguzi ni huru, za haki, na za uadilifu. Wamesisitiza umuhimu wa matumizi ya teknolojia katika utambuzi wa wapiga kura na uwepo wa midahalo kwa ngazi zote za uchaguzi.

Muswada wa Sheria ya Vyama vya Siasa wamependekeza mabadiliko muhimu kwenye Sheria ya Vyama vya Siasa ya mwaka 2019. Kwa kuwa baadhi ya vifungu vinahitaji marekebisho ili kuhakikisha vyama vya siasa vinazingatia katiba na sheria nyingine za nchi.

Muswada wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi unalenga kuongeza uwazi na uwajibikaji katika masuala ya fedha katika uchaguzi. Hili ni jambo zuri katika kujenga demokrasia yenye uwazi na uwajibikaji kwa wadau wote.

Muswada wa Sheria ya Tume ya Uchaguzi wamependekeza kuanzishwa kwa sheria inayojitegemea kuhusu Tume ya Uchaguzi. Wamependekeza maboresho katika muundo wa Tume ili kuifanya iwe huru na isiyoingiliwa na mamlaka nyingine katika majukumu yake.
hivi unaweza fanya mdahalo Nyumbu na kenge wakiwa chumba kimoja halafu watoke humo ndani bila ngeu na damu, huku viti na meza vikivunjwa na kurushwa kama mpira?

Una faaa nchezo nini aise 🐒
 
CCM kwa hili hawawezi kukubali kamwe!

×*mdahalo kati ya Lisu na Samia, nani ataumbuka?
×"mdahalo kati ya mgombea ubunge wa chadema na Babu Tale, Maganga (Mbogwe), n.k nani ataumbuka?
 
Watu wafanye kazi kwa bidii na maarifa ili taifa lisonge mbele!, upotezaji wa muda kwenye mambo ya mijadala haina tija yoyote kwa taifa.
 
Back
Top Bottom