Wapi ulienda ukakuta ardhi bei ya kutupwa?

Wapi ulienda ukakuta ardhi bei ya kutupwa?

Mwaka 2022! Nilisafiri kwenda Lindi kikazi. Katika ile project tulikuwa tunazunguka wilayani na kwenye vijiji ndani ndani huko.

Nilikuja kufika sehemu Ruangwa kuna vijiji tulienda huko ardhi ni bei ya kutupwa.

Ekari inauzwa elf 10 hapa kama unanunua serikali ya kijiji (ukitaka nyingi)
Kama unataka chache moja au mbili wananchi wanauza elf20

Kweli Tanzania bado ardhi nyingi!
Njombe Kuna Kijiji kimoj kinaitwa towe nilienda mwaka u mwezi w3 kule wanauza kiwanja af20 ili shida iliopo kule hamna Barbara ya uhakik Yan kule at pikipiki zinafika kwa shida
 
Lindi mbali sana
Hapo kisarawe ukipitia serikali ya vijiji heka moja unapata kwa laki moja kuanzia hekari 50 na kuendelea
Muongo hiyo hela hata ukienda Mwanalumango,Chole hupati kwa bei hiyo. Hapo Masaki ambayo ipo mbele ya Kisarawe bila Milioni hupati hata hekari moja.
 
Mwaka 2022 nilisafiri kikazi mkoani Lindi, ambapo tulitembelea wilaya na vijiji mbalimbali. Tulipofika Wilaya ya Ruangwa niligundua kuwa bei ya ardhi ni nafuu sana. Kwa mujibu wa taarifa nilizopata, ukinunua ardhi kupitia serikali ya kijiji na unahitaji eneo kubwa, ekari moja inaweza kupatikana kwa takribani Shilingi 10,000.

Hata hivyo, ukinunua ekari moja au mbili kutoka kwa wananchi, bei yake huwa karibu Shilingi 20,000 kwa ekari."

Kweli Tanzania bado ardhi nyingi!
Kwenye majiji ardhi ndiyo bei kubwa lakini mikoa mingine ardhi ni ya kuokota tu ,hawapimi wanarusha jiwe mpaka litakapoangukia ndiyo mpaka.
 
Ungetuambia shughuli gani za maendeleo zinafanyika. Mfano hapo Ruangwa mazao gani yanakubali sana hapo.​
 
Mwaka 2022 nilisafiri kikazi mkoani Lindi, ambapo tulitembelea wilaya na vijiji mbalimbali. Tulipofika Wilaya ya Ruangwa niligundua kuwa bei ya ardhi ni nafuu sana. Kwa mujibu wa taarifa nilizopata, ukinunua ardhi kupitia serikali ya kijiji na unahitaji eneo kubwa, ekari moja inaweza kupatikana kwa takribani Shilingi 10,000.

Hata hivyo, ukinunua ekari moja au mbili kutoka kwa wananchi, bei yake huwa karibu Shilingi 20,000 kwa ekari."

Kweli Tanzania bado ardhi nyingi!
Tabora ndani ndaniii hukooo Kuna maeneo unapewa bureeeee kabisaaaaa
 
Back
Top Bottom