Samico Tanzania
JF-Expert Member
- Feb 6, 2022
- 276
- 792
Hello wapendwa! Nina ujuzi wa kutengeneza mkaa mbadala wa kupikia!
Lakini tatizo sijui wapi nitapata wateja!
Naomba mawazo nifanyeje ili nipate wateja ili nianze kuzalisha bidhaa hii.
Ujuzi ninao, vifaa na mashine zipo lakini shida ni wapi nitauza hii bidhaa!
Kwasasa napotaka kuanza kuzalisha Sina uwezo wa kumwajili afisa masoko! Lakini kama kuna vijana wenzangu mliosomea masoko hamna kazi leteni mawazo tufanye kazi pamoja tuunde kikundi cha pamoja!
Mwenye kujua wapi naweza peleka bidhaa hii anijuze!
Ni mkaa mbadala safi ambao hauishi haraka, unatumika kidogo tu kupikia, unatumika kwenye jiko la mkaa wa kawaida hata mafiga matatu unaweza kutumia!
Naomba anaejua wapi naweza pata soko la mkaa huu anijuze au tuwasiliane
Lakini tatizo sijui wapi nitapata wateja!
Naomba mawazo nifanyeje ili nipate wateja ili nianze kuzalisha bidhaa hii.
Ujuzi ninao, vifaa na mashine zipo lakini shida ni wapi nitauza hii bidhaa!
Kwasasa napotaka kuanza kuzalisha Sina uwezo wa kumwajili afisa masoko! Lakini kama kuna vijana wenzangu mliosomea masoko hamna kazi leteni mawazo tufanye kazi pamoja tuunde kikundi cha pamoja!
Mwenye kujua wapi naweza peleka bidhaa hii anijuze!
Ni mkaa mbadala safi ambao hauishi haraka, unatumika kidogo tu kupikia, unatumika kwenye jiko la mkaa wa kawaida hata mafiga matatu unaweza kutumia!
Naomba anaejua wapi naweza pata soko la mkaa huu anijuze au tuwasiliane