Mwanangikolo
Member
- Nov 10, 2022
- 51
- 73
Hapa sinzungumzii bidhaa za yule msanii mwana FA la hasha bali ni za ile chapa ya FA, wanakuwa na deodorant nzuri sana. Mimi huwa napenda hasa ile imetengenezwa kwa watermelon.
Sasa nmejaribu kutafuta sana naona ni kama sasa hivi zimekuwa adimu madukani.
Msaada ni wapi nitapata, nipo Morogoro.
Sasa nmejaribu kutafuta sana naona ni kama sasa hivi zimekuwa adimu madukani.
Msaada ni wapi nitapata, nipo Morogoro.